Msaada wenu kuhusu hili la kupeleka confirmation letter

Msaada wenu kuhusu hili la kupeleka confirmation letter

ucoolboy

Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
90
Reaction score
7
Naitwa mwl George Temu nafundisha mathematics ktk secondary moja hapa mjini Moshi.

Mwaka 2015 nilipewa ruhusa kwenda masomoni SUA (bachelor of mathematics and informatics), lakini nyuma ya pazia nilipata admission ya accountancy mwaka 2014 chuo cha IFM nikaahirisha, nilipopata ruhusa 2015 nikaenda kuendelea IFM na sasahivi nipo second year.

Sasa kazini wamenitaka nipeleke confirmation letter ya SUA coz wamegundua sipo SUA, naombeni ushauri wenu nifanyeje jamani niache chuo nirudi kazini au nifanyeje?

NB: Sina boom mshahara wangu ndo ada yangu na matumizi yangu.

Naomba kuwasirisha.
 
Naitwa mwl George Temu nafundisha mathematics ktk secondary moja hapa mjini Moshi.
Mwaka 2015 nilipewa ruhusa kwenda masomoni SUA (bachelor of mathematics and informatics), lakini nyuma ya pazia nilipata admission ya accountancy mwaka 2014 chuo cha IFM nikaahirisha, nilipopata ruhusa 2015 nikaenda kuendelea IFM na sasahivi nipo second year. sasa kazini wamenitaka nipeleke confirmation letter ya SUA coz wamegundua sipo SUA, naombeni ushauri wenu nifanyeje jamani niache chuo nirudi kazini au nifanyeje?

NB: sina boom mshahara wangu ndo ada yangu na matumizi yangu.

Naomba kuwasirisha.
Kurudi kazini bila maelezo ulikua wp wakati wanakukosa sua haitasaidia. Ni bora kujisalimisha tamisemi ukiwa na uthibitisho toka Ifm, ujieleze wanaweza kukuelewa. Wasipokuelewa km uko vzr kiuchumi ni bora umalizie masomo
 
Duh mkuu nakosa hata cha kukushauri hapa sijui ufnyaje ila poa,,Nenda n conf letter ya Ifm Nachoweza kusema bhana we ongea na Afsa elimu kiutu uzima wangapi wanafanya janjajnja kwa ajili ya Manufaa binafsi[emoji39][emoji39]!!Fanya ivo wekana sawa na wakubwa hapo!!Hakuna namna
 
SALAMU USHAURI WANGU NI HUU NA PIA SAMAHANI KM NTAKUKERA
pole sua hawawezi kukutambua,pia nenda na hiyo ya ifm ili ukajulikane uko shule ila fahamu pia kuchepuka masomo pasipo ruhusa YA MWAJILI UKIRUDI HAWATAKUBADILISHA KAZI AU KUKUBADILISHIA MAJUKUMU LABDA TU WALIKURUHUSU KUSOMA HIYO KOZI (ZAMANI HAIKUWA CENTRALIZED IVYO WATU WANAMALIZANA KIUTU UZIMA LABDA WAKUPELEKE SHULE YENYE ECA)AU KWA LUGHA NYINGINE ENDELEA NA MASOMO UKITOKA NENDA SEKTA BINAFSI AU UKIRUDI ENDELEA KUPATA MSHAHARA HUO HUO HADI NAFASI ZITOKE UFANYE INTAVYUU ILI UWE RECATEGORIZE(WARAKA WA UTUMISHI WA UMMA UNAHUSIKA KWA MTU ALIEAJIRIWA SERIKALINI NA ANATAKA KUBADILI FANI )
 
Duh mkuu nakosa hata cha kukushauri hapa sijui ufnyaje ila poa,,Nenda n conf letter ya Ifm Nachoweza kusema bhana we ongea na Afsa elimu kiutu uzima wangapi wanafanya janjajnja kwa ajili ya Manufaa binafsi[emoji39][emoji39]!!Fanya ivo wekana sawa na wakubwa hapo!!Hakuna namna
Bonge la ushauri ngoja nifanyie kazi hili
 
SALAMU USHAURI WANGU NI HUU NA PIA SAMAHANI KM NTAKUKERA
pole sua hawawezi kukutambua,pia nenda na hiyo ya ifm ili ukajulikane uko shule ila fahamu pia kuchepuka masomo pasipo ruhusa YA MWAJILI UKIRUDI HAWATAKUBADILISHA KAZI AU KUKUBADILISHIA MAJUKUMU LABDA TU WALIKURUHUSU KUSOMA HIYO KOZI (ZAMANI HAIKUWA CENTRALIZED IVYO WATU WANAMALIZANA KIUTU UZIMA LABDA WAKUPELEKE SHULE YENYE ECA)AU KWA LUGHA NYINGINE ENDELEA NA MASOMO UKITOKA NENDA SEKTA BINAFSI AU UKIRUDI ENDELEA KUPATA MSHAHARA HUO HUO HADI NAFASI ZITOKE UFANYE INTAVYUU ILI UWE RECATEGORIZE(WARAKA WA UTUMISHI WA UMMA UNAHUSIKA KWA MTU ALIEAJIRIWA SERIKALINI NA ANATAKA KUBADILI FANI )
Ahsante kwa ushauri brother
 
Huyu kashatumbuliwa tayari.
Watu wamekuwa wajinga Sana na mitandao kiasi cha kuweka kila Kitu.
Hivi unadhani hawa unknown wote ni kina Nani??
Boss wako ni Nani mpaka ashindwe kuwa unknown humu.
Humu kuna kila mtu aisee.
Niliwahi jua password ya mtu mmoja Sina hamu aisee.
 
sawa mkuu wiki km nne zilizopita nimekutana na mwalimu amesomea uhasibu yupo halmashauri flani ila analalamika mwak a wa tatu huu bado yuko level c hawataki kumtambua km mhasibu barua yake imeseme hongera kwa kuihitimu ila maarifa uliyoyaongeza hayapo kwenye scheme of service ya kada yako
Basi ntaendelea tu na uhasibu Mungu yupo
 
Huyu kashatumbuliwa tayari.
Watu wamekuwa wajinga Sana na mitandao kiasi cha kuweka kila Kitu.
Hivi unadhani hawa unknown wote ni kina Nani??
Boss wako ni Nani mpaka ashindwe kuwa unknown humu.
Humu kuna kila mtu aisee.
Niliwahi jua password ya mtu mmoja Sina hamu aisee.
iko obvious jifuze kutoogopa RAIA
 
Back
Top Bottom