Msaada waungwana!!!

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Hellow....

Mpenzi wangu ana allergy na harufu za mafuta na perfume. Je atumie deodorant gani isiyo na harufu kali ili kuondoa harufu ya jasho??? Kama kuna deodorant zisizo na harufu kama mafuta ya vaseline hivi???

Dada H C/O charminglady!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dah!Ningekushauri lakini hata sijui hiyo kitu.Lakini tatitzo ukitumia wewe yeye ndo tatizo au unataka atumie?
'
Au sijaelewa?
 
kumbe mpezi!! nilifikiri mumeo achana naye tafuta mme wa kukuoa mwishowe soda itamaliza gesi baada ya hapo haitafaa kitu.
 
Hellow....

Mpenzi wangu ana allergy na harufu za mafuta na perfume. Je atumie deodorant gani isiyo na harufu kali ili kuondoa harufu ya jasho??? Kama kuna deodorant zisizo na harufu kama mafuta ya vaseline hivi???

Dada H C/O charminglady!!!!!

Aoge tu vizuri. Ya nini kutumia makemiko?
 
Ila nimependa tu upo straight,sio ooh narafiki yangu ana rafiki yake.........
 
Kama hana maradhi yanayosababisha mwili kuoa harufu baada ya kutoa jasho anaweza kutumia medicated soap kisha kujipaka lotion yenye manukato ya mbali sana.
'
Pia awe anajitahidi kuoga mara nyingi awezavyo!
 
Atumie product za oriflame. Wanayo ambayo haina harufi sana.
 
Atumie product za oriflame. Wanayo ambayo haina harufi sana.

hapo umenena mie ninazo hizo product za oriflame naomba charminglady unitafute kama uko serious kumsaidia huyo kijana.
 
Hellow....

Mpenzi wangu ana allergy na harufu za mafuta na perfume. Je atumie deodorant gani isiyo na harufu kali ili kuondoa harufu ya jasho??? Kama kuna deodorant zisizo na harufu kama mafuta ya vaseline hivi???

Dada H C/O charminglady!!!!!

deodorant atumie Brut si kwamba haina harufu, harufu ipo ila ya chini sana,,pafyum atumie Kenzo Amour ya wanaume au Issey Miyake no 1. zina harufu ya chini sana haiwez kumuumiza. pole, nimependa coz unamjal mpenz wako,. good, si kumkimbia na kusema ana kikwapa deal nacho mama
 
Kama hana maradhi yanayosababisha mwili kuoa harufu baada ya kutoa jasho anaweza kutumia medicated soap kisha kujipaka lotion yenye manukato ya mbali sana.
'
Pia awe anajitahidi kuoga mara nyingi awezavyo!

Kuoga mara nyingi kivipi mkuu Eiyer??? Nijuavyo ratiba ya kuoga huwa mara mbili kwa siku kwa wahangaikaji. Au ulimaanishani?????
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…