Msaada wapi nitapata chupa za soda?

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,218
39,048
Ndugu zangu kama uzi unavoonesha hapo juu nimeamua kutoa fursa nahitaji kreti 50 za kampuni ya pepsi na kreti 50 coca kreti ziwe na chupa ndani.

Chupa bila kreti na kreti bila chupa pia nanunua ukiwa na mzigo mwingi itapendeza sana location Dar es salaam. Karibuni sana.
 
Ndugu zangu kama uzi unavoonesha hapo juu nimeamua kutoa fursa nahitaji kreti 50 za kampuni ya pepsi na kreti 50 coca kreti ziwe na chupa ndani.

Chupa bila kreti na kreti bila chupa pia nanunua ukiwa na mzigo mwingi itapendeza sana location Dar es salaam. Karibuni sana.
Mkuu nipe tenda nikutafutie





Ova.
 
Ndugu zangu kama uzi unavoonesha hapo juu nimeamua kutoa fursa nahitaji kreti 50 za kampuni ya pepsi na kreti 50 coca kreti ziwe na chupa ndani.

Chupa bila kreti na kreti bila chupa pia nanunua ukiwa na mzigo mwingi itapendeza sana location Dar es salaam. Karibuni sana.
Zipo zinapatikana bei ni 9500 nicheki 0764161048
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom