SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Katikati ya mwezi wa tisa mwaka huu, niliomba kufungiwa Luku.TANESCO walikubali ombi langu wakanifungia mita ya LUKU, ikiwa na units 50.
Mwezi wa kumi katikati nilipoona units zimebaki 5 tu, nikenda kwa wakala kuongeza.Nilimpa wakala sh 5,000 ununuzi wa units akanipa risiti yenye namba za kuingiza kwenye luku.Nilipoingiza namba hizo, units 6 zikaongezeka.
Juzi tarehe 5/11/2015 saa za jioni nikahitaji kuongeza units, hivyo nikatumia njia ya m-pesa.Nilituma sh 5,000 zikakataliwa kwamba hazitoshi.Baadaye nikatuma sh 8,000.Nikapokea jibu toka LUKU2 kwamba nimepewa units 3.5KWH.
Tarehe 5,6, matumizi yangu ya umeme yalikuwa makubwa sana hivyo leo jumamosi 7/11/2015 nikaamua kuongeza units.Nikatumia m-pesa tena kiasi kilekile cha sh 8,000.Jibu likaja toka LUKU2 kwamba nimepata units 22.1KWH.
Kwa wale mnaoelewa naomba mnisaidie maswali yangu haya:
1. Kwa nini sh 5,000 zilikataliwa kwamba hazitoshi (na btw walinirudishia)
2. Kwa nini elf nane ya mwanzo ilileta units 3.5kwh na ya pili 22.1kwh?
Mwezi wa kumi katikati nilipoona units zimebaki 5 tu, nikenda kwa wakala kuongeza.Nilimpa wakala sh 5,000 ununuzi wa units akanipa risiti yenye namba za kuingiza kwenye luku.Nilipoingiza namba hizo, units 6 zikaongezeka.
Juzi tarehe 5/11/2015 saa za jioni nikahitaji kuongeza units, hivyo nikatumia njia ya m-pesa.Nilituma sh 5,000 zikakataliwa kwamba hazitoshi.Baadaye nikatuma sh 8,000.Nikapokea jibu toka LUKU2 kwamba nimepewa units 3.5KWH.
Tarehe 5,6, matumizi yangu ya umeme yalikuwa makubwa sana hivyo leo jumamosi 7/11/2015 nikaamua kuongeza units.Nikatumia m-pesa tena kiasi kilekile cha sh 8,000.Jibu likaja toka LUKU2 kwamba nimepata units 22.1KWH.
Kwa wale mnaoelewa naomba mnisaidie maswali yangu haya:
1. Kwa nini sh 5,000 zilikataliwa kwamba hazitoshi (na btw walinirudishia)
2. Kwa nini elf nane ya mwanzo ilileta units 3.5kwh na ya pili 22.1kwh?