Nisaidie na mimi mkuu yangu nikifungua tu akaunti ya play store inaanza kuganda ganda wakati wa kutumia ila niki ifomart inakua nyepesi kosa tu nifungue akaunti ya play store ndio inaanza kuganda mpaka inazima mkuu hapa tatizo niniRe start tuu.sio google play tu itakuambia hata wasap, insta fb nk.punguza na mavitu mengi kwenye simu kuwe na space kubwa
Simu ni model gani na kampuni gani mkuu?Nisaidie na mimi mkuu yangu nikifungua tu akaunti ya play store inaanza kuganda ganda wakati wa kutumia ila niki ifomart inakua nyepesi kosa tu nifungue akaunti ya play store ndio inaanza kuganda mpaka inazima mkuu hapa tatizo nini