habari zenu
nna shida kama tatu iv msaada plz
1.kwenye ajira portal ukiwa unajaza detail zako unaweka vyeti ambavyo vimepita kwa mawakili au unaweka copy ya original ila wakati wa kutuma ndo unaweka vilivyo pitia kwa wakili?
2.barua iliyo sainiwa unasaini vip?
ni hayo tu msaada jamani
nna shida kama tatu iv msaada plz
1.kwenye ajira portal ukiwa unajaza detail zako unaweka vyeti ambavyo vimepita kwa mawakili au unaweka copy ya original ila wakati wa kutuma ndo unaweka vilivyo pitia kwa wakili?
2.barua iliyo sainiwa unasaini vip?
ni hayo tu msaada jamani