Msaada wana MMU!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,367
Reaction score
27,772
Habari za wikiendi wadau.


Nina mpenzi Wangu kamaliza hedhi Siku ya Jana sasa yeye anataka tugegedane Leo.


Nimekuja kuomba ushauri kwa wanaofahamu ni baada ya muda gani baada ya mwanamke kumaliza hedhi anaweza kufanya mapenzi.


Ahsanteni, karibuni kwa ushauri!!
 
aisee... Kaz ipo kwa kizaz hiki??
 
Acha uzinifu. Jpli yote hii unawaza ngono zembe.
 
Haki Mungu mzinga we konyagi uko wapi nizimue... mahisi na hangover duh
 
Ukitaka kujua ni baada ya mda gani usimgegede,,,uone
 

Go ahead
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…