Msaada wana JF

Msaada wana JF

Siwezi kuoa janamke lililozalishwa kamwe.
Never Ever Forever.

Mungu hutupa mitihani kwa kutuzawadia vitu ambayo hatuvipendi. I promise utakuja tu kunasa kwenye huo mtego wala sasa hivi usiongee sana subiri yakukute. Utakutana na manzi ambaye amezalishwa watoto zaidi ya wawili halafu ukingalia kidume wewe ndiyo umekufa umeoza... I promise utakuja na ID mpya kuomba ushauri.
 
Mungu hutupa mitihani kwa kutuzawadia vitu ambayo hatuvipendi. I promise utakuja tu kunasa kwenye huo mtego wala sasa hivi usiongee sana subiri yakukute. Utakutana na manzi ambaye amezalishwa watoto zaidi ya wawili halafu ukingalia kidume wewe ndiyo umekufa umeoza... I promise utakuja na ID mpya kuomba ushauri.
Usemalo ni kweli kbsa me binti ukimuona mashaallah huwez amin km amezaa ilibdi niombe mpk vyeti vya kuzaliwa age yke20yrz bado mbichi n umbile lake siihaba
 
Pamoja na Haya yote tufikirie kuhusu Dogo Janjaa
 
Malezi ya mtoto yapo kw wazaz wake toka mjamzito- Leo baba wa mtoto hajulikan
Baba wa mtoto hajulikani?... Sema wewe ndio humjui ila familia yake na yeye mwenyewe wanamjua na siku ukimuoa tu ukaanza kutekekeza majukumu na yeye ataibuka.
Sasaivi hawezi kuja si anakwepa majukumu

Huyo lazima atakuja kujitokeza na wataendeleza mahusiano yao kwa muavuli wa mzazi mwenzangu.
 
Mungu hutupa mitihani kwa kutuzawadia vitu ambayo hatuvipendi. I promise utakuja tu kunasa kwenye huo mtego wala sasa hivi usiongee sana subiri yakukute. Utakutana na manzi ambaye amezalishwa watoto zaidi ya wawili halafu ukingalia kidume wewe ndiyo umekufa umeoza... I promise utakuja na ID mpya kuomba ushauri.


Unaongea udyelyelya kufurahisha genge.
Mchumba wangu nimemfungua utando mwenyewe kwa kutumia mkuyenge wangu mwezi March mwaka huu.
Sasa sijui unataka ninase mara ngapi???
Au unamaanisha niachane nae halafu nianze kutafuta mwingine...
 
Wewe Beef Lasagna acha kuhalalisha vilivyoharamishwa. Halafu wewe ni Muislamu kabisa. Nashangaa unatetea upumbavu kama huu.
Mwanaume anaanzaje kuoa mwanamke alozini akazalishwa.
Siwezi kuoa mwanamke mzinifu alozalishwa kamwe. Never. Ever. Forever.
Kwa vile binaadamu sote ni wenye kufanya makosa kila siku kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)


(كل بني آدم خطاء، و خير الخطائين التوابون)) حسن الألباني صحيح الجامع)
(Kila Binaadamu ni mkosa na mkosa mbora kabisa ni yule anayeomba toba)).


Kwa Rahma ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) hata binaadamu awe ana makosa vipi, huenda akafutiwa dhambi zake zote, kwa hiyo mtu asikate tamaa au kukhofu kuwa dhambi zake hazitofutwa.

(قُلْ يَا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَى أَنفُسِهِمْ لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّهِ إِنَّ اللَّهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعًا إِنَّهُ هُوَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ))
(Sema: Enyi waja wangu waliojidhulumu nafsi zao, msikate tamaa na Rahma ya Allaah. Hakika Allaah husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu)) Az-Zumar: 53

Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Ametuamrisha tumuombe toba katika Aayah nyingi za Qur-aan kama mfano wa Aayah zifuatazo:



(يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا تُوبُوا إِلَى اللَّهِ تَوْبَةً نَّصُوحًا))
(Enyi mlioamini! Tubuni kwa Allaah toba iliyo ya kweli)) [At-Tahriym: 8]


(وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَا الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ)
(Na tubuni nyote kwa Allaah, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa)) [An-
Nuur: 31]
 
Mbona tunahukumu sana mwanamke kuzaa kabla ya ndoa?Hili nikosa tu kama makosa mengine na unapomkuta mwanamke huyu jaribu tu kufikiria ni kama mwanaume aliye zaa nje vilevile kabla ya ndoa,je nikweli mwanaume huyu asioe tena? Kama tunavyojudge upande wa mwanamke? ukimpenda na ukaridhika na tabia zake we muoe tu kila binadamu lazima ana mapungufu waweza pata ambaye hajazaa na akakuletea mtoto asiye wako wakati mpo ndani ya ndoa haya mambo ni kukumbushana na kuombeana kwa mungu.Hizi fikra na utashi tunaoona kwamba ni sahihi sio kipimo kamili kwenye ndoa,ndoa ni zaidi ya tunayofikiria nje.
 
Mimi tabia za wanaume kwenye kufanya maamuzi mpka washikwe akili na watu wengine siipendi kabisa..nawaza sasa huyu ndio kichwa cha nyumba ataweza kweli?
 
Changa moto za kucheza mpira ukitaka kuzielewa ingia ndani afu ucheze, sio uwe nje ata ukiambiwa unaona simpo au ngumu, lakin ukiingia ndani unapata solutions zote
 
Kwa vile binaadamu sote ni wenye kufanya makosa kila siku kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)


(كل بني آدم خطاء، و خير الخطائين التوابون)) حسن الألباني صحيح الجامع)
(Kila Binaadamu ni mkosa na mkosa mbora kabisa ni yule anayeomba toba)).


Kwa Rahma ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) hata binaadamu awe ana makosa vipi, huenda akafutiwa dhambi zake zote, kwa hiyo mtu asikate tamaa au kukhofu kuwa dhambi zake hazitofutwa.

(قُلْ يَا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَى أَنفُسِهِمْ لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّهِ إِنَّ اللَّهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعًا إِنَّهُ هُوَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ))
(Sema: Enyi waja wangu waliojidhulumu nafsi zao, msikate tamaa na Rahma ya Allaah. Hakika Allaah husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu)) Az-Zumar: 53

Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Ametuamrisha tumuombe toba katika Aayah nyingi za Qur-aan kama mfano wa Aayah zifuatazo:



(يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا تُوبُوا إِلَى اللَّهِ تَوْبَةً نَّصُوحًا))
(Enyi mlioamini! Tubuni kwa Allaah toba iliyo ya kweli)) [At-Tahriym: 8]


(وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَا الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ)
(Na tubuni nyote kwa Allaah, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa)) [An-
Nuur: 31]
Mashaallah
 
Mbona tunahukumu sana mwanamke kuzaa kabla ya ndoa?Hili nikosa tu kama makosa mengine na unapomkuta mwanamke huyu jaribu tu kufikiria ni kama mwanaume aliye zaa nje vilevile kabla ya ndoa,je nikweli mwanaume huyu asioe tena? Kama tunavyojudge upande wa mwanamke? ukimpenda na ukaridhika na tabia zake we muoe tu kila binadamu lazima ana mapungufu waweza pata ambaye hajazaa na akakuletea mtoto asiye wako wakati mpo ndani ya ndoa haya mambo ni kukumbushana na kuombeana kwa mungu.Hizi fikra na utashi tunaoona kwamba ni sahihi sio kipimo kamili kwenye ndoa,ndoa ni zaidi ya tunayofikiria nje.
Usemayo n kweli swaiba wake na kaka angu wamekaa kwenye ndoa miaka 8 n mke wake mwezi Jan ndo wameachan yey alikuwa anajuakuw watoto wote 3 n wake kumbe wake n mmoja2 mwanamke kazaa n mwanaume mwingne wa njee watoto 2
 
Back
Top Bottom