Msaada wana JF

Msaada wana JF

RamaQ

Senior Member
Joined
Nov 10, 2015
Posts
136
Reaction score
115
Mchumba niliyepata anavyote vigezo nitakavyo kasoro hazikosi Tatizo ni moja2 Alipigwa mimba wakati anamaliza 4M4 Ana mtoto nami Nilikuwa via hatua za kupeleka PoSa lkn imebdi awe muwaz ukimuona huwezi mdhania kbsa!!!naomben ushauri jaman mnipe n chanagamoto zipi walizonazo wanawake Wenye watoto mtoto wake Ana umri 4yrs jamaa nilililompa mimba liliikimbia hata mawSiliano lilitupilia mbali malez ya mtoto yapo kwa wazaz wake'''
 
Km hujiamini na nafsi inakusuta au tabia zake zinakutia mashaka ni heri ukamuacha
Tabia Zak n njema ameishika dini vlivyo lkn nahitaji kujua ni chanagamoto zipi walizonazo wanawake Wenye watoto wakiwa kwenye ndoa
 
Fuata moyo wako mkuu tabia hazina single maza humu masingo mama hawapendwi so hutapata muafaka zaidi utajazwa chuki
Ni kweli lkn kumbka Moyo nikiiza kinene huwez kujua
 
Muoe tuu haina, hiyo ya kupigwa mimba tena form 4 isikutie shaka alikua na akili za kitoto na ni mistake ikitokea, unless kama hujampenda maana hii sio issue kama kweli umefall in love kwake.
 
Nilijaribu kumzingua kuhusu hilo aliugua week mbili mfululizo ikabdi nirudishe Moyo ndo akatulia
Unaweza ukamtafuta Asiye na mtoto Ukaja kujuta baadae. Mapenzi ni kama maua huota popote. Km mnapendana na ushamuelewa tabia yake fanya maamuzi ya kumuoa. Km ni makosa alifanya Zamani Sasa kajirekebisha na anajitambua hawez Kurudi Kosa
 
Dogo kma uyo alomtia mimba akazaa yupo, usioe nakushauri. Utamtubzia jamaa tu. Huwa hawaachani, na usishangae siku anakuaga kumpeleka mtoto kwa baba ake, au kidume kinakuja hapo home kumuangalia mwanae.

Pia huenda wamuona ni mwema mana anajiona anamzigo wa mtoto .

Vuta subra ndoa sio baraza la magu kma utatumbua na kutwua kila siku hasa wakristo
 
Muoe tuu haina, hiyo ya kupigwa mimba tena form 4 isikutie shaka alikua na akili za kitoto na ni mistake ikitokea, unless kama hujampenda maana hii sio issue kama kweli umefall in love kwake.
Nampenda kiukweli lkn yy ananipenda xn nilimuwekea vikwazo juu y hilo aliugua week mbili mfululizo hadi nikamuonea huruma nilipojirudi ndo akapta nafuu
 
Unaweza ukamtafuta Asiye na mtoto Ukaja kujuta baadae. Mapenzi ni kama maua huota popote. Km mnapendana na ushamuelewa tabia yake fanya maamuzi ya kumuoa. Km ni makosa alifanya Zamani Sasa kajirekebisha na anajitambua hawez Kurudi Kosa
Ahsante nimekuelewa vyema!
 
Unaweza ukamtafuta Asiye na mtoto Ukaja kujuta baadae. Mapenzi ni kama maua huota popote. Km mnapendana na ushamuelewa tabia yake fanya maamuzi ya kumuoa. Km ni makosa alifanya Zamani Sasa kajirekebisha na anajitambua hawez Kurudi Kosa
Kumbe mnajuaga kua mapenzi huchanua popote?kwa single maza, flat screen, migumegume ila kwa wanaume wasio na hela hayachanui?

Akili ndogo kabisa kutumika
 
Dogo kma uyo alomtia mimba akazaa yupo, usioe nakushauri. Utamtubzia jamaa tu. Huwa hawaachani, na usishangae siku anakuaga kumpeleka mtoto kwa baba ake, au kidume kinakuja hapo home kumuangalia mwanae.

Pia huenda wamuona ni mwema mana anajiona anamzigo wa mtoto .

Vuta subra ndoa sio baraza la magu kma utatumbua na kutwua kila siku hasa wakristo
Ahsante xn mkuu lkn aliyempa ujauzito alimkimbia n mawasiliano hayapo mwanaume inasadikika nipasua kichwa aliikan mimba n akatimua
 
Tok anaujauzito malezi yote yapo kwa wazazi wake
 
Ahsante xn mkuu lkn aliyempa ujauzito alimkimbia n mawasiliano hayapo mwanaume inasadikika nipasua kichwa aliikan mimba n akatimua
Rama mapenzi najua hayashauriki, pia ww hutakua wakwanza kuoa mke alozaa.so kikubwa twaomba kheri. Mpe hi bibie
 
Kumbe mnajuaga kua mapenzi huchanua popote?kwa single maza, flat screen, migumegume ila kwa wanaume wasio na hela hayachanui?

Akili ndogo kabisa kutumika
Wewe naye usituharibie thread kama kutoa Ushaur unashindwa, katafute thread za mipasho hii naona umepotea njia.
 
Back
Top Bottom