Msaada wana jamvi katika simu yangu baada ya ku root

Msaada wana jamvi katika simu yangu baada ya ku root

Mzenjibar

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
234
Reaction score
328
Habariwwanajukwaa? naomba msaada katika simu yangu ya huawei ascend y330, jana nili root simu kwa kutumia kingo root lakini baada ya ku root nashindwa kuingia play store kwa kuleta ujumbe wa "no network,retry" pia napata ujumbe huu "UNFORTUNATELY,GOOGLE PLAY SERVICES HAS STOPPED" naomba msaada wenu watu jukwaa,,aksante
 
Ulitakuwa ufanye backup kabla ya kuroot, hata hivyo bado hujaunganisha na internet that's why
 
Jaribu ku clear caches za google play service na play store au angalia saa kama iko sawa.
 
Habariwwanajukwaa? naomba msaada katika simu yangu ya huawei ascend y330, jana nili root simu kwa kutumia kingo root lakini baada ya ku root nashindwa kuingia play store kwa kuleta ujumbe wa "no network,retry" pia napata ujumbe huu "UNFORTUNATELY,GOOGLE PLAY SERVICES HAS STOPPED" naomba msaada wenu watu jukwaa,,aksante



Kuhusu playstore yawezekana ni apn hazipo poa..
name jaza internet na apn jaza internet then save na uchague Internet kama acces point yako.



kuhusu google play services,nenda kweny setting kisha uninstall google play services then. nenda google na search google play services apk sawa na android version yako kisha install then reboot device yako.

Usisahau unatakiwa kudownload Google play services ambayo ni latest.
 
nashukuruni wana jamvi nitarudisha mrejesho
 
Kiukweli bado nimejaribu kutatua tatizo LA kudownload Google play services pamoja na play store bado tatizo limebaki palepale,,, msaada watu wa jukwaa.
 
Nimefuta playstore na takataka zake zote.. nime download market mpya ya Mobogenie now nakula maisha.
 
Nawezaje kufuta play store maana sipati option ya Ku unistall?

Download system app remover utaweza kuitoa hiyo play store na app nyingine usizopenda za system app.
Jaribu ku download blackmate alpha kupitia google nayo iko vizuri
 
Download system app remover utaweza kuitoa hiyo play store na app nyingine usizopenda za system app.
Jaribu ku download blackmate alpha kupitia google nayo iko vizuri

Thanks,, let me try
 
Back
Top Bottom