Msaada, waliowahi kuagiza magari Be forward

Msaada, waliowahi kuagiza magari Be forward

kiraza

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
385
Reaction score
541
Samahani wanajamvi nina kashida hapa, hivi utaratibu wa kuagiza magari Japan kwa kupitia hawa Be forward ukoje? Gari hufika nchini baada ya Muda gani tangu niagize? Na wanakata asilimia ngapi mwanzo wakati naagiza gari?
Kwa mwenye mawasiliano yao na pia wanaojua office zao zilipo.
Nahitaji kuagiza mistubish Fuso Bus.
 
Samahani wanajamvi nina kashida hapa, hivi utaratibu wa kuagiza Magari japan kwa kupitia hawa Be forward ukoje? Gari hufika nchini baada ya Muda gani tangu niagize? Na wanakata asilimia ngapi mwanzo wakati naagiza gari?
Kwa mwenye mawasiliano yao na pia wanaojua office zao zilipo..
Nahitaji kuagiza mistubish Fuso Bus.
upo wapi wewe?


Kama upo dar nenda ofisi zao Posta utapata maelezo kwa kina.
 
Aelezee physical address, sio kusema zipo posta(sanduku la barua hilo)!???
 
Me binafsi niliwatumia kuagiza mwezi January mwaka huu wako vizuri kwa kweli wapo Dar mkabala na Ocean road Hospital
 
Samahani wanajamvi nina kashida hapa, hivi utaratibu wa kuagiza Magari japan kwa kupitia hawa Be forward ukoje? Gari hufika nchini baada ya Muda gani tangu niagize? Na wanakata asilimia ngapi mwanzo wakati naagiza gari?
Kwa mwenye mawasiliano yao na pia wanaojua office zao zilipo..
Nahitaji kuagiza mistubish Fuso Bus.

Nenda fb tafuta page
inayokwenda kwa jina la
"NJOO TUKUAGIZIE GARI"
kampuni inaitwa KALUMBILO IMPORT..
wako vizuri alafu so cheap na ushauri unapewa wa maana..
 
Back
Top Bottom