kwenye keyboard bonyeza batani ya window pamoja na R (win+R)
kitafunguka kibox andika MSCONFIG kisha bonyeza enter
itatokea system configuration
angalia tab iliyoandikwa Startup ukiibofya utaona list ya application nyingi zote izo zinafungukuka pc inapowaka
chagua ambazo unataka zifunguke wakati pc inawaka. ambazo hutaki usizitick
ukimaliza bonyeza ok
unaweza kurestart pc uone kama kunaabadiliko yametokea.
nb; usi disable app zote kwenye list kuna zingine ni lazima zifunguke pc inapowaka japo huzioni.kwa wakati huo