MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,729
- 4,999
Za usiku wanajamvi....natumia samsung galaxy note 10.1 inanusumbua sana....siku za nyuma nilikuwa nadownload app nyingi play store au ku-update app mbalimbali
, nacheki youtube , naangalia movie online na vitu vingi vinavyohusu internet....lakini nina siku kama ya 4 hii note haikubali chochote nilichokitaja hapo juu....ila naweza kubrowse mitandao mbali mbali ila sio hivyo nilivyoviolozesha hapo juu....msaada kwa mtu yoyote anaelielewa hili Tatizo.....natanguliza shukrani.
, nacheki youtube , naangalia movie online na vitu vingi vinavyohusu internet....lakini nina siku kama ya 4 hii note haikubali chochote nilichokitaja hapo juu....ila naweza kubrowse mitandao mbali mbali ila sio hivyo nilivyoviolozesha hapo juu....msaada kwa mtu yoyote anaelielewa hili Tatizo.....natanguliza shukrani.