baba mausingizi
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 189
- 119
- Thread starter
- #21
AiseeeKama una hela basi kukoroma si big deal.
AiseeeKama una hela basi kukoroma si big deal.
Umenichekesha sana ahaaa ahaaaumejuaje kaka hebu weka soundclip tujue ukubwa wa tatizo.
Badilisha jina Hilo Mkuu afu lala,ukiamka leta mrejeshoWadau mwenye ufahamu kwenye hili tatizo,nakoroma sana nikilala na hali hii siipendi sinywi pombe,siyo mnene,ila tatizo linanitesa kuna dawa au njia yoyote kupunguza tatizo hili pls nipo serious
Nenda kaonane na DAKTARI MTAALAM/BINGWA wa magonjwa ya KOO,PUA NA MASIKIO KTK HOSPITALI YA MKOA ULIOPOWadau mwenye ufahamu kwenye hili tatizo,nakoroma sana nikilala na hali hii siipendi sinywi pombe,siyo mnene,ila tatizo linanitesa kuna dawa au njia yoyote kupunguza tatizo hili pls nipo serious
Hahahaaaa hahahaaaa hahahaaaa! Mkuu SI itabidi awasiliane na brother Mshana Jr sasa ili aweze kukesha kila siku!!!Acha kulala maana kulala ndiko kunafanya ukorome.
Kama una hela basi kukoroma si big deal.
Umenichekesha sana ahaaa ahaaa
Ww unashida mahala, unamsifia mwanaume mwenzakoUna umbo. Zuri kaka
Ndiwo ndiwo mzee mamaHahahhahahahahaa....ila km.huna hela ni kero...makelele yale...lol
Mi jike mzee, acha kukaririWw unashida mahala, unamsifia mwanaume mwenzako
Baba mausingizi hahaha pole inakeraNi kero tena ukiwa ugenini ndo kabisa
Wadau mwenye ufahamu kwenye hili tatizo,nakoroma sana nikilala na hali hii siipendi sinywi pombe,siyo mnene,ila tatizo linanitesa kuna dawa au njia yoyote kupunguza tatizo hili pls nipo serious
AsanteBaba mausingizi hahaha pole inakera
AsanteNenda kaonane na DAKTARI MTAALAM/BINGWA wa magonjwa ya KOO,PUA NA MASIKIO KTK HOSPITALI YA MKOA ULIOPO
Ahaaa ahaaaBadilisha jina Hilo Mkuu afu lala,ukiamka leta mrejesho
Ushauri mzuri sana, sema changamoto ni kuwa Hawa madaktari bingwa wa ENT siyo wengi, namshauri aende KCMC au Muhimbili au Bugando.Nenda kaonane na DAKTARI MTAALAM/BINGWA wa magonjwa ya KOO,PUA NA MASIKIO KTK HOSPITALI YA MKOA ULIOPO
AsanteUshauri mzuri sana, sema changamoto ni kuwa Hawa madaktari bingwa wa ENT siyo wengi, namshauri aende KCMC au Muhimbili au Bugando.