kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,563
- 2,628
- Thread starter
- #21
nimejaribu kufanya hivyo imekataaMkuu achana na watu wanaokwambia ni fake.... Acha kufikiria sana negative.... Inawezekana hiyo memory imeingi virus..... Cha kufanya hamisha vitu vyako..... Then format hiyo memory card..... Halafu weka tena vitu vyako.... Kisha uje ulete matokeo. Asante.