Msaada wako unahitajika

Lucas Mganda

JF-Expert Member
Mar 13, 2016
237
159
Kuna vijana mwaka Jana hawakupewa kujaza zile fomu za kujiunga na kidato cha tano na vyuo ila wamefaulu vizuri wengine wanadaraja la I na II je wafanye nini ilikupata nafasi kwenye shule za serikali?
 
Back
Top Bottom