mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 96
Mwenzenu Niliomba udom ila kuna sehemu paliandikwa kuambatanisha cheti ila sikuelewa wanamaanisha cheti cha diploma,foundation, six au cha form four yaan sikuelewa kabisa nikashindwa kuambatanisha . Je, kuna madhara ya kutokuchaguliwa?
UDOM nakipenda sana sababu ada bei chee na pia ni Chuo cha watoto wa wakulima
UDOM nakipenda sana sababu ada bei chee na pia ni Chuo cha watoto wa wakulima