The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Asee wakuu ma it wa kampuni yetu wamerestrict jamii na facebook sasa mimi nimefanikiwa kuiiba admini password kabla ilikuwa hata kudown load wamezuia nilipoipata hii nikilog in kuitumia nadownload sasa nataka niunge facebook na jamii..nipeni maujanja ?