msaada wajameni

kubwalamaadui

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
328
Reaction score
51
hivi jaman uko katika ndoa yako na mme wako unayemwamn na kumpenda sana.alafu unahs kama anakuchit ili ujipatie uhakika ukaamua kuchungulia simu na kweli ukakuta sms za mapenz na mwanamke mwingne ukajaribu kumkanya ikashindikana kibaya zaidi sasa hivi huyo mwanamke kapata namba yako ya simu anakutukanaje sasa na kukuchamba.
mshaurin jaman
 
++
lara 1
Naona sasa sio tu unakubalika JF MMU bali pia una deserve kuwa Queen.
Tazama ID hiyo hapo juu u-relate na signature yako.
++
 
Last edited by a moderator:
Cko kwenye ndoano na cna mume ha ha ha unalo bibi
 
Pole sasa mdada. Hiyo ni sehemu ya maisha. Labda nkuulize swali,je ulishamwambia mumeo kuwa hyo mwanamke anakusumbua kwenye cm??? na yeye alirespond vipi?? Kama hajachkua hatua zozote mi nakushauri mpeleke kwa wazee kama ni ndugu zake uwaeleze, kama utaanzia ngazi za chini labda kwa marafiki wa karibu kuwaambia then wenyew wakae nae chini wamuonye.
 
Huo sio ushauri mkuu. Ndugu yetu amepata tatizo na anhitaji ushauri. Kama hukua na ushauri bora ungekaa kimya mambo yakusema siko kwenye ndoa,sijui unalo, cjui nini hayo sio maneno na leo kwake na kesho pia laweza kuwa kwako xo watch out mkuu.

asante mpedwa wangu kwa kusaidia kujibu
 
Huo ndo muda wa kuonesha misimamo ukishindwa hapo ukubari kuletewa kicheche ndani real i tell you.
 
Umejaribu kuongea na mumeo pengine una kasoro ambazo hajaweza kukubainishia waziwazi maana naona umeainisha jambo moja tu kuwa umemkanya.
Btw napenda kujua kama hutajali, kwa nini umeshindwa kutumia ile ID yako tuliyoizoea best??

asante sana mpenzi.
mimi nahamu nimfanyie kitu mbaya ila naogopa sina roho mbaya,mim kinachonikera nikunitukana tuuuu.
 
bora yakae rohoni ufanye hamsini zako...usijikondeshe bure...wanaume kuwa na vimada kawaida sana
 

Sasa wewe kubwa la maadui unataka ufanyeje mtafutekwa asiyechit kama utampata dunia hii..au hata vitabu vya dini hamsomagi.Hayakuanza leo hata katika agano la kale yalikuwepo ebu uliza waliwezaje kuyastahimi?
 
yaani wanaume jamani?!!
mtu unakahabika huko sawa,y umpe namba
ya mkeo?so sad kwa kweli coz wengi yashatukuta!!
 
Achana naye. Akikutumia sms just delete bila kusoma coz ukiisoma itakuumiza. Zidisha mapenzi kwa huyo mumeo. Wewe ni original, hizo copy zisikusumbue.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…