Nimeitwa kwenye interview post sales officer na kampuni ya maersk me niko mkoani wao wapo dar sasa me siijui hii kampuni na sikumbuki hata nliapply lini kwa anayeijua pls anisaidie hata introduction nijue inajihusisha na nini.
nimetafta sana aisee naona maluwe luwe tuu ndomana nkaomba msaada mkuu
thanx so muchMzee hawa jamaa kama sikosei ni moja ya kampuni kubwa kabisa inayohusika na makontena ya mazigo bandarini na wapo bandari tofauti tofauti hapa duniani ikiwemo bandari ya Dar. Nadhani ushawahi kuona kontena za mizigo nyingi tu zimeandikwa maersk ndo hao jamaa, na kama vip ingia net then google maersk Tanzania utapata valid and reliable info kuhusu hiyo kampuni.
thanx so muchOffices & contacts
Select the office you want detailed information about
[TABLE="class: tblData htmtableborders, width: 703"]
[TR="bgcolor: #D0D0E0"]
[TH="bgcolor: #D2EEF3, align: left"]City[/TH]
[TH="bgcolor: #D2EEF3, align: left"]Company[/TH]
[TH="bgcolor: #D2EEF3, align: left"]Phone[/TH]
[TH="bgcolor: #D2EEF3, align: left"]Fax
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Dar es Salaam[/TD]
[TD]Nyota Tanzania Limited[/TD]
[TD]+255 22 2120014[/TD]
[TD]+255 22 2120479[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Zanzibar[/TD]
[TD]Maersk Zanzibar Limited[/TD]
[TD]+255 24 2236003[/TD]
[TD]+255 24 2238831[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD]Nyota Tanzania Limited[/TD]
[TD]+255 27 2646675[/TD]
[TD]+255 27 2646366[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
http://www.maerskline.com/link/?page=lhp&path=/africa/tanzania/offic
Nimeitwa kwenye interview post sales officer na kampuni ya maersk me niko mkoani wao wapo dar sasa me siijui hii kampuni na sikumbuki hata nliapply lini kwa anayeijua pls anisaidie hata introduction nijue inajihusisha na nini.