Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,621
Habari wazee kwa vijana,
Nimefanya clean installation ya windows 10 juzi hapa ili kupata experience yake toka windows 7, Cha kustaajabisha nashangaa sizioni apps zangu ninazo install hasa app muhimu ya ms -office suite 2013 Pro plus ambayo ndio very essential katika matumizi ya kompyuta yangu,
Kwenye control panel programs inaonekana ipo installed ila kwenye start menu haipo na ukii search inaandika unavailabe,
Kwa mwenye solution ya hili tatizo msaada tafadhali! How do i get over it!
Nimefanya clean installation ya windows 10 juzi hapa ili kupata experience yake toka windows 7, Cha kustaajabisha nashangaa sizioni apps zangu ninazo install hasa app muhimu ya ms -office suite 2013 Pro plus ambayo ndio very essential katika matumizi ya kompyuta yangu,
Kwenye control panel programs inaonekana ipo installed ila kwenye start menu haipo na ukii search inaandika unavailabe,
Kwa mwenye solution ya hili tatizo msaada tafadhali! How do i get over it!