Msaada wadau nisaidieni

Msaada wadau nisaidieni

Ngatelefijo

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
20
Reaction score
3
Wadau naomba msaada nina simu yangu SAMSUNG WAVE 3 GT-S8600, Ni simu kali lkn haikamati internet,fb, na whatsap naambiwa hamna nimeenda mpaka vodashop wananiambia haiwezi kuwa na program hizo naombeni msaada wadau ninapoweza kuelekezwa kwa wataalam zaidi kwa msaada yani ninaipenda sana simu hii. Msaada wadau kwa yeyote ajuaye wapendwa.
 
Angalia simu yako kama ina wi-fi. Kama haina hata uende wapi ni bure. Labda jaribu kwenda ofisi ya wakala wa samsung!!!!
 
Kama upo Dar ni pm namba yako,ntakusaidia.Ukweli kwa sasa Maduka ya Vodacom yameuzwa na yanamilikiwa na watu binafsi!hii inachangia kuwepo customer cares ambao wana upeo mdogo katika kusaidia wateja.
Tuwasiliane ntakusaidia mkuu
 
Kama upo Dar ni pm namba yako,ntakusaidia.Ukweli kwa sasa Maduka ya Vodacom yameuzwa na yanamilikiwa na watu binafsi!hii inachangia kuwepo customer cares ambao wana upeo mdogo katika kusaidia wateja.
Tuwasiliane ntakusaidia mkuu

nipo dar nitakushukuru sana namba yangu ni 0753979050
 
Angalia simu yako kama ina wi-fi. Kama haina hata uende wapi ni bure. Labda jaribu kwenda ofisi ya wakala wa samsung!!!!

asante Kamanda kazi, sasa kwa hapa dar wapi nitapata wakala wa samsung kama unajua walipo naomba nielekeze
 
Angalia simu yako kama ina wi-fi. Kama haina hata uende wapi ni bure. Labda jaribu kwenda ofisi ya wakala wa samsung!!!!

lkn kaka wi-fi inayo nimeicheki ila nikicrik inaandika no wi-fi application found, msaada kaka
 
kwa maelezo ya hapo juu nunua nyingine aua rudisha ulipo nunua
 
unajua jamani nipo serious na ndo maana nimeomba msaada lkn huo ulionipa sio msaada bali ni uangamizaji na ukatishaji tamaa

msaada ni huu kama umenunua dukani rudisha huwa simu zinzkuja na makosa siyo kwamba zote zipo sawa
 
bei mbaya kwako si mbaya kwa kila mtu. ulinunua bei gani. ulinunua dukani au mchina umepigwa
 
asante Kamanda kazi, sasa kwa hapa dar wapi nitapata wakala wa samsung kama unajua walipo naomba nielekeze

Wapo sehemu nyingi. Ukienda Kariakoo Mtaa wa uhuru karibu na junction ya mtaa wa Congo niliwahi ona wakala hapo. Kwa uhakika hebu uliza watu utawapata tu
 
Simu za Wave zinatumia Bada operating system, WhatsApp hawetengenezi App kwa ajili ya Bada hivyo hautaweza kutumia WhatsApp, same kwa majority ya Apps zengine. Kuhusu internet hii inatakiwa kufanya kazi kama kawaida, tafuta sehemu ya settings kisha tengeneza apn mpya yenye neno internet kwenye apn.
 
Back
Top Bottom