ngoshaaa
Member
- May 18, 2017
- 88
- 36
Jamani nipo njia panda naombeni msaada course ipi nzuri kusoma kwa kipindi hiki na kijacho kati ya flight operator/dispatch na airport operation/ground operation najua wapo waliopitia huko nahitaji mawazo yenu juu ya upatikanaji wake wa ajira na mshahara wake...
Ahsante
Ahsante