huohuo mkuu, hauna link niudownloadTazama ramani
utaona nchi nzuri
yenye mito na mabonde mengi ya nafakaaaa
nasema kwa kinywa tena na kwa kusitiri
nchi hiyo mashuhuri huitwa TANZANIAA...
Majira yetu hayaa
yangekuwaje sasa
utumwa wa nchi nyerere ameukomesha
Embu imba huo wa kwanza wote alafu nitakuwekea maneno yake hapajamani kwa mwenye hizi nyimbo mbili za taifa letu pendwa Tanzania naomba aniwekee.
-ya kwanza ni hii, Tanzania Nakupenda Kwa Moyo Wote.
-ya pili ni hii, Tazama Ramani
Msaada wenu wakuu!
jamani kwa mwenye hizi nyimbo mbili za taifa letu pendwa Tanzania naomba aniwekee.
-ya kwanza ni hii, Tanzania Nakupenda Kwa Moyo Wote.
-ya pili ni hii, Tazama Ramani
Msaada wenu wakuu!
Jaribu kwenye YouTube.acha tu mBaba
unaniota mimi?nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni heri mama wee, BTW nahitaji kupata link ya hzo nyimbo mbili