Msaada wa wataalamu wa NSSF mafao

Msaada wa wataalamu wa NSSF mafao

Yaan mpaka mda huu sijapata ufafanuz mzuri kila mmoja aliyejitaid kunielewesha ameishia njian. Kuna baadh yamambo mimi ninataka kufaham, ni maesabu gani waliyatumia kunilipa kias hicho, pili kama ni wananilipa theluth moja ya mshara wangu je nitalipwa ndani ya mda upi pia kama nitalipwa ndani ya miez sita je ndo mwisho wa kulipwa inamaana pesa yangu sitaipata tena? Tafadhali mwenye kufahamu au ni mfanyakaz wa NssF atujuze maana inaonekana watu wanakiu ya kujua hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom