akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Habari za jion hii wana jamvi,
Bila kupoteza mda mimi nilikua na kasalio kangu NSSF. hivo nimekahangaikia takriban mwaka sasa mwishon mwa mwaka jana yaan mwezi wa kumi na mbili nilienda tena kufuatilia ndipo wakaniandikia yakua tarehe 13 mwez wa pili wataniingizia pesa yangu. Kiasi chote nilichokua ninadai ni milion tano na point lakin lakushangaza leo nikaona pesa inaingia kias cha laki moja na sabini na uchafu.
Sasa ninataka kujua niutaratibu upi wanautumia kulipa mafao hayo? Maana nilidhani milion zote tano zitaingia kwa mkupuo. Tafadhali mwenye kujua ninaomba msaada. Ninadhan wafanyakaz na wajuz wa hayo Asante na mungu awabariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kupoteza mda mimi nilikua na kasalio kangu NSSF. hivo nimekahangaikia takriban mwaka sasa mwishon mwa mwaka jana yaan mwezi wa kumi na mbili nilienda tena kufuatilia ndipo wakaniandikia yakua tarehe 13 mwez wa pili wataniingizia pesa yangu. Kiasi chote nilichokua ninadai ni milion tano na point lakin lakushangaza leo nikaona pesa inaingia kias cha laki moja na sabini na uchafu.
Sasa ninataka kujua niutaratibu upi wanautumia kulipa mafao hayo? Maana nilidhani milion zote tano zitaingia kwa mkupuo. Tafadhali mwenye kujua ninaomba msaada. Ninadhan wafanyakaz na wajuz wa hayo Asante na mungu awabariki.
Sent using Jamii Forums mobile app