Mkuu ALF, pamoja na majibu mazuri ya Mkuu Kubota, nami napenda kukupa ushauri ufuatao: Tafuta vitabu hivi na kuvisoma kwa kuanzia, mapema iwezekanavyo THE CASHFLOW QUADRANT, THE BUSINESS SCHOOL & THE BUSINESS OF THE 21ST CENTURY vyote vikiwa vimeandikwa na Robert T. Kiyosaki. Vinapatikana kwenye maduka yafuatayo: Scholastic Bookshop (Mlimani City & Posta), Dar es Salaam Printers, Saramanda, n.k. Pia, kwa wauza vitabu stand ya mabasi ubungo vinapatikana.
Vitabu hivi vitakusaidia kukupa mwanga zaidi juu ya biashara na ujasiriamali katika karne hii ya 21, hasa kwa watu ambao tunakumbwa na changamoto za Usimamizi, Mitaji, na Ofisi/Eneo (premisis) la kufanyia biashara. Zaidi, vitakupa muongozo mzuri namna unavyoweza kuutumia muda wako wa ziada (part time) kujenga TIMU ya watu watakaokuwa wanakufanyia kazi (SYSTEM/ NETWORK) kama ambavyo Bakheresa, Mengi, n.k walivyo na wanavyoendelea kufanya.
Kwa mawasiliano zaidi, piga 0713 366 473 au 0767 277 223.
KILA LA KHERI MKUU.