Watu wengi huwa hawatilii maanani tiba,akiumwa ataenda zahanati,akitoka hapo bila kupata unafuu anakwambia hospitali nineenda bila mafanikio.naomba mtoa mada utambue,kuna zahanati,kituo Cha afya, hospitali za wilaya,hospital za rufaa ,hospital za Kanda na mwisho Ni hospital ya taifa ,ambapo kwa Tanzania Ni mhimbili,je umefika kote huko? Ndo uje useme hapa kuwa umeshaenda hospital zote?