Mzuka!
Nimatumain yangu mmeanza siku vizuri. Mimi ndio najiandaaandaa kutinga bongo likizo wakati wowote.
Nimenunua drone amazon Sasa nikifika bongo nataka kuirusha maeneo ya makumbusho kijitonyama na Victoria Kwa tafiti zangu binafs kwasabab nitaish karibu na maeneo hayo.
Je, Kuna athari yoyote nikifanya hivyo?
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa.
Nimatumain yangu mmeanza siku vizuri. Mimi ndio najiandaaandaa kutinga bongo likizo wakati wowote.
Nimenunua drone amazon Sasa nikifika bongo nataka kuirusha maeneo ya makumbusho kijitonyama na Victoria Kwa tafiti zangu binafs kwasabab nitaish karibu na maeneo hayo.
Je, Kuna athari yoyote nikifanya hivyo?
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa.