M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Wakuu,nimepewa jukumu la kuwatafutia usafiri kikundi cha "wawekezaji" fulani kama 45 hivi kwenda Mbeya,wanaprefer kwenda kwa basi ili wapate fursa ya kutalii kudogo pia.,kwa wale wazoefu wa route ya Dar-Mbeya naomba mniambie ni basi gani la ukweli naweza kuwakodia hawa watu,ningependelea liwe ni basi linalotumia route hiyo siku zote.