Hard to swallow kaka/dada..nyw ;aksante.pole. Let it go. . . Unavyobaki na kisasi ndo unazidi kujiumiza. Wewe mwanaume chakarika utafte vyako upya. Mwachie Mungu.
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai[/QUOTE
Asante mkuu..yaani nimekonda kama victim wa mdudu yule..na nahisi nshapoteza hata life vision yangu..
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai[/QUOTE
Asante mkuu..yaani nimekonda kama victim wa mdudu yule..na nahisi nshapoteza hata life vision yangu..
Mkuu mwanamke asikufanye upoteze vision ya life lako wala asikufanye upoteze kile ambacho umekipigania muda mrefu
Kwani mkuu ukiwa na pesa au cheni yako unaipenda sana na ikatumbukia kweney mto wenye kina kirefu si unapiga moyo unaendelea na life
So hiyo na pesa ulizotoa jiambie kuwa zilitumbukia mtoni kwenye kina kirefu na mambo wengi skiasi kwamba huwezi tumbukiza mguu wako pale
absolutely, you make sense kaka. Pamoja na yote hayo natamani nirudi kindergarten nianze kujifunza human affairs.Mkuu mwanamke asikufanye upoteze vision ya life lako wala asikufanye upoteze kile ambacho umekipigania muda mrefu
Kwani mkuu ukiwa na pesa au cheni yako unaipenda sana na ikatumbukia kweney mto wenye kina kirefu si unapiga moyo unaendelea na life
So hiyo na pesa ulizotoa jiambie kuwa zilitumbukia mtoni kwenye kina kirefu na mambo wengi skiasi kwamba huwezi tumbukiza mguu wako pale
absolutely, you make sense kaka. Pamoja na yote hayo natamani nirudi kindergarten nianze kujifunza human affairs.
Mkuu you have friends and above all the one you believe is your best friend to whom you can talk and share your intimate secret. Kaa nae mweleze mambo yako na mwombe ushauri wa maisha maana kama ni mwelewa atakupa ushauri wa maana na najua watu wa aina hiyo kwa sasa hawapo sana ila naamini unaye ambaye unaweza kushare nae mambo yako ya ndani sana
Mkuu you have friends and above all the one you believe is your best friend to whom you can talk and share your intimate secret. Kaa nae mweleze mambo yako na mwombe ushauri wa maisha maana kama ni mwelewa atakupa ushauri wa maana na najua watu wa aina hiyo kwa sasa hawapo sana ila naamini unaye ambaye unaweza kushare nae mambo yako ya ndani sana
Sure.nafikiri napungukiwa imani pia.ts like nimeanza ground zero ..thanx kwa ushauri wako ..sometym napoteza matumaini, lakini watu wachache kama ninyi wananiinua tena.. in another hand, kwanini binadam tupo hivyo? Kulipa ubaya kwa wema????
4Potezea 2 mkuu..mtoto wa kike asikufanye uone maisha yako hayana thaman tena,piga moyo konde na life litasonga 2.
Sure.nafikiri napungukiwa imani pia.ts like nimeanza ground zero ..thanx kwa ushauri wako ..sometym napoteza matumaini, lakini watu wachache kama ninyi wananiinua tena.. in another hand, kwanini binadam tupo hivyo? Kulipa ubaya kwa wema????
Mkuu naona umesahau ule usemi kuwa " Tenda wema uende zako usingojee shukrani"
Umeshafanya your part just move on mkuu
Hiyo ni kwamba unamwambia Mungu asante kwa kunipa maisha na mikono na miguu miwili na akili ya kufanya haya na then tafuta za kwako sasa na yeye muombee sana Mungu ambariki
Malipo wala kisasi usilipe mwachie Mungu mwenyewe atajua la kumfanya
Umeshamjua na umeshajua kuwa binadam hatuna shukrani sasa ni nafasi yako ya kusema sasa basi na kila unayempa msaada wala usitegemee atakuja kukupa asante
Wengine hata wakikupa asante ni ya kinafiki haitoki moyoni
Mkuu yameshatokea just sahau na na endelea na maisha yako
hapo hakuna kitu na hakuna mwanamke wa kukufaa katika huyo dada
Mwache na pambana kujenga maisha yako kwa sasa ufanye na utafute wa kukufaa
Huyo ndio hivyo ni ndege aliye mtini hakufai[/QUOTE
Asante mkuu..yaani nimekonda kama victim wa mdudu yule..na nahisi nshapoteza hata life vision yangu..
wewe hayo mambo ya kizamani enzi hizo watu waamua kujiua nk . tupa kule songa mbele maisha ni mtihani jitaidi kufaulu kwa hilo wanawake wapo wengi tu tena omba mungu sana na nakushauri kwa sasa usianze mahusiano mapya jipe muda weka akili yako kutafuta maisha mazuri zaidi penda kwenda sehemu za kukupotezea mawazo during weekend kama beach , cinema, kwenye band nk then utaona tu maisha ni simple na yanaenjoyments nyingi tena sana . pole and you have to be very strong otherwise you can loose all things you have kwanza huwezi jua mungu alikuwa anakuepusha na nini coz every things happens for a reason . just be strong
Mkuu naona umesahau ule usemi kuwa " Tenda wema uende zako usingojee shukrani"
Umeshafanya your part just move on mkuu
Hiyo ni kwamba unamwambia Mungu asante kwa kunipa maisha na mikono na miguu miwili na akili ya kufanya haya na then tafuta za kwako sasa na yeye muombee sana Mungu ambariki
Malipo wala kisasi usilipe mwachie Mungu mwenyewe atajua la kumfanya
Umeshamjua na umeshajua kuwa binadam hatuna shukrani sasa ni nafasi yako ya kusema sasa basi na kila unayempa msaada wala usitegemee atakuja kukupa asante
Wengine hata wakikupa asante ni ya kinafiki haitoki moyoni
Vremant,great phrase. Kaka..life goes on. Kweli "tenda wema ondoka zako".this is great living statement.
wewe hayo mambo ya kizamani enzi hizo watu waamua kujiua nk . tupa kule songa mbele maisha ni mtihani jitaidi kufaulu kwa hilo wanawake wapo wengi tu tena omba mungu sana na nakushauri kwa sasa usianze mahusiano mapya jipe muda weka akili yako kutafuta maisha mazuri zaidi penda kwenda sehemu za kukupotezea mawazo during weekend kama beach , cinema, kwenye band nk then utaona tu maisha ni simple na yanaenjoyments nyingi tena sana . pole and you have to be very strong otherwise you can loose all things you have kwanza huwezi jua mungu alikuwa anakuepusha na nini coz every things happens for a reason . just be strong
InshAllah, ushauri wako nitazingatia..lakini ukiweza nisaidie hili ;kwanini binadam (si wote) wanalipa ubaya kwa kutendewa wema?? Au tuseme. Kusaidia au kuwa na relationship especially dating je si carrying risk??
Vremant,great phrase. Kaka..life goes on. Kweli "tenda wema ondoka zako".this great living statement.
Karibu na naamini umepata la kujifunza hapo