Msaada wa upatikanaji water pump za kisima

Msaada wa upatikanaji water pump za kisima

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
12,105
Reaction score
35,136
nawatakia heri na amani wakuu
naomba msaada wa maelezo kuhusu water pump .
ni kisima chenye urefu wa mita 78 kwenda chini na maji yanatoka hapo mpaka kwenye tenki umbali wa mita 420. mara ya mwisho tulifunga water pump ya hp 3 lakini ilidumu kwa niezi 4 tuu na kabla ya hapo ilitoka ilio dumu kwa miezi 7 lakini pia iliharibika nyingine iliodumu kwa miaka 5 na zote ni hp 3 na umeme inaotumia ni 3 ph. tatizo limekuja ndani ya miezi kumi zimeshaungua 3 na zote garama yake mil 3 kwenda juu. ombi langu kwenu wakuu ni wapi tunaweza kupata water pump zilizo imara? na je hakuna utaalamu wa kuzitengeneza hizi zilizo haribika? na garama yake ni rafiki au ni aheri kununua mpya?
ninawatakia kila lililo jema waheshimiwa.
 
Mara nyingi hizo submersible hua zinaungua coil, mimi nilikua nayo moja kwa matumizi ya nyumbani tu na kisima changu kina urefu wa futi 52 na yenyewe ina 1hp, well zinatengenezeka kwa mafundi wengi tu wa mtaani. Ninacho kushauri ni hiki, nyingi za hizi pump hua hazitaki umeme unao fluctuate sana na hiyo ndio sababu why zinaungua, dogo mmoja alinifungia box moja hivi (nakumbuka yeye ndio alinituma dukani kwenda linunua) nalisahau jina, since nimefunga pump imetulia. Kingine ni aina na wapi imetengenzwa, pump nyingi za China sio durable kabisa, hi niliyo nayo ni made Italy
 
Last edited:
Mara nyongi hizo submersible hua zinaungua coi, mimi nilikua nayo moja kwa matumizi ya nyumbani tu na kisima change kina urefu wa futi 52 na yenyewe ina 1hp, well zinatengenezeka kwa mafundi wengi tu wa mtaani. Ninacho kushauri ni hiki, nyingi za hizi pump hua hazitaki umeme unao fluctuate sana na hiyo ndio sababu why zinaungua, dogo mmoja alinifungia box moja hivi (nakumbuka yeye ndio alinituma dukani kwenda linunua) nalisahau jina, since nimefunga pump imetulia. Kingine ni aina na wapi imetengenzwa, pump nyingi za China sio durable kabisa, hi niliyo nayo ni made Italy
Nakubaliana na wewe mkuu hii ya kwetu shida ni umeme ulikuja mdogo tu ndio ilio sababisha kufa.
Sisi tulifunga control box ambayo kazi yake ni ku stabilizer umeme unaotakiwa lakini wala haikusaidia kitu ila yote ni mede in china.
 
Nakubaliana na wewe mkuu hii ya kwetu shida ni umeme ulikuja mdogo tu ndio ilio sababisha kufa.
Sisi tulifunga control box ambayo kazi yake ni ku stabilizer umeme unaotakiwa lakini wala haikusaidia kitu ila yote ni mede in china.
Try Europe made, achana na hizo za China mkuu.
 
nawatakia heri na amani wakuu
naomba msaada wa maelezo kuhusu water pump .
ni kisima chenye urefu wa mita 78 kwenda chini na maji yanatoka hapo mpaka kwenye tenki umbali wa mita 420. mara ya mwisho tulifunga water pump ya hp 3 lakini ilidumu kwa niezi 4 tuu na kabla ya hapo ilitoka ilio dumu kwa miezi 7 lakini pia iliharibika nyingine iliodumu kwa miaka 5 na zote ni hp 3 na umeme inaotumia ni 3 ph. tatizo limekuja ndani ya miezi kumi zimeshaungua 3 na zote garama yake mil 3 kwenda juu. ombi langu kwenu wakuu ni wapi tunaweza kupata water pump zilizo imara? na je hakuna utaalamu wa kuzitengeneza hizi zilizo haribika? na garama yake ni rafiki au ni aheri kununua mpya?
ninawatakia kila lililo jema waheshimiwa.
Labda nikuulize swali je? Hizo water pump mmefunga na control box?au mmefunga moja kwa moja na je? Kama mmefunga control box mmefunga ya single fase au 3ph?
Na baada ya hapo hizo pump mnazonunua ni hizi xiabosh za kichina au kitu cha italy?
 
Mara nyongi hizo submersible hua zinaungua coi, mimi nilikua nayo moja kwa matumizi ya nyumbani tu na kisima change kina urefu wa futi 52 na yenyewe ina 1hp, well zinatengenezeka kwa mafundi wengi tu wa mtaani. Ninacho kushauri ni hiki, nyingi za hizi pump hua hazitaki umeme unao fluctuate sana na hiyo ndio sababu why zinaungua, dogo mmoja alinifungia box moja hivi (nakumbuka yeye ndio alinituma dukani kwenda linunua) nalisahau jina, since nimefunga pump imetulia. Kingine ni aina na wapi imetengenzwa, pump nyingi za China sio durable kabisa, hi niliyo nayo ni made Italy
Isije kuwa ni ampera zimenasia anasema imeungua .. maana mle ndani kukiingia hata kichenga chenge uzito wa 0.00000gm haiendi ng'o
 
Nakubaliana na wewe mkuu hii ya kwetu shida ni umeme ulikuja mdogo tu ndio ilio sababisha kufa.
Sisi tulifunga control box ambayo kazi yake ni ku stabilizer umeme unaotakiwa lakini wala haikusaidia kitu ila yote ni mede in china.
Ndo maana nilianza kujua tuu mmenunua za bei rahisi...
 
Isije kuwa ni ampera zimenasia anasema imeungua .. maana mle ndani kukiingia hata kichenga chenge uzito wa 0.00000gm haiendi ng'o
Mkuu siwezi jua ndio maana nimeuliza kama kuna uwezekano wa kutengeneza.
 
Labda nikuulize swali je? Hizo water pump mmefunga na control box?au mmefunga moja kwa moja na je? Kama mmefunga control box mmefunga ya single fase au 3ph?
Na baada ya hapo hizo pump mnazonunua ni hizi xiabosh za kichina au kitu cha italy?
Contol box tumefunga mkuu na ni 3 ph pia. Isipokua hio hio pump ilikua inahitaji umeme wa v384 lakini umeme wa tanesco ulikua unasoma v 370 fundi alikuja ongeza kifaa ili ku stabilizer huo umeme ndio mashine ikafanya kazi ila haikudumu miezi 4
 
Uko wapi mkuu ? Niko bize kidogo ila mi mtaalamu wa hayo mambo.
1. Uliza mafundi walifunga water level sensor/switch?
2.umeme gani unatumia? Haupandi na kushuka.na unadhibitije.
3.pampu baadhi zinakubali kusukika mitaani.
 
Kama ilikua inatembea chini ya 380 utapata tabu sana! Hizo pump maximum 415 minimum 380. Chini ya hapo zinatembelea low voltage.hivo which current should be high!. Ongea na tanesco wa solve transformer ilio karibu na wewe. Tatizo litakwisha.otherwise nunua genset upate volt sahihi. Lakini suala LA Water level fatilia.isije kua maji yanaisha pump inavuta hewa!
 
Isije kuwa ni ampera zimenasia anasema imeungua .. maana mle ndani kukiingia hata kichenga chenge uzito wa 0.00000gm haiendi ng'o
Through uzoefu wangu, hiyo itakua imeungua coil, angalia mchango wangu wa kwanza kabisa, nilihisi ni power fluctuation na ndio alivyo sema, so kusuka coil ni shughuli nyingine though inawezekana tena kwa mafundi wa mtaani tu; Impela ikiharibika, that is mechanical problem na sio electrical so motor ingetembea but isinge pump maji to anywhere!
 
Back
Top Bottom