Msaada wa unlimited internet ya tunnel guru na PD proxy

Msaada wa unlimited internet ya tunnel guru na PD proxy

Joined
Aug 23, 2013
Posts
9
Reaction score
5
Habari wana jamvi?

Nilikuwa naomba msaada kwa anaejua na unlimited internet ya Tunnel guru au pd proxy.




NB: Matapeli hamtakiwi.
 
kuna pim.bi mmoja linapenda misifa, litakuja na kuanika kila kitu hapa!
 
Mkuu hii uwez pata jukwan kirahis..si unajua wazee wa biometric nao wapo around
 
wanaojua ni ngumu kukuambia maana watu wa mtandao wakishajua wanaenda ziba huo mwanya
 
Naomba msaada.

Nikitumia lain ya Airtel huwa inakataa kufungua baadhi ya mitandao,nimejaribu kuweka hii lain kwenye simu nyengine ila hali ni ileile tu. Je,tatizo linaweza kuwa nini?
 
Naomba msaada.

Nikitumia lain ya Airtel huwa inakataa kufungua baadhi ya mitandao,nimejaribu kuweka hii lain kwenye simu nyengine ila hali ni ileile tu. Je,tatizo linaweza kuwa nini?
Bila shaka ni mitandao ya ngono
 
kuna pim.bi mmoja linapenda misifa, litakuja na kuanika kila kitu hapa!
Haya nimekuja!!
Fantastic Malinza Jr Tafuta limodem la zantel lile la zamani Huawei EC122 jaribu na Pdproxy au Cproxy ukiona linasongesha jiongeze
images
 
Sikuhizi hamna ypenyo mwendo wa bando tu tuache kudanganyana
 
Sikuhizi hamna ypenyo mwendo wa bando tu tuache kudanganyana
Kajaribu Hiyo trick ya hapo juu then rudi tena utoe ushuhuda.
Kifupi Chochoro zipo ila hawapewi wavivu kama wewe
 
Back
Top Bottom