Wadau, naombeni kufahamu kuhusu uhamisho wa watumishi wa UMMA. Nilipata nafasi kazi Chuo kikuu fulani hapa nchini nikaomba kuhamishia ajira yangu chuoni hapo kupitia ESS kutoka idara ya Elimu(mwalimu).
Nilifanya process zote kuanzia chini, tangu tarehe 7/2/2025, kisha ombi langu likapokelewa utumishi na status inasoma (WITHDRAW REQUEST)tangu tarehe 12/2/2025.
JE, NI NINI NIFANYE TENA? Kindly help me.
Nilifanya process zote kuanzia chini, tangu tarehe 7/2/2025, kisha ombi langu likapokelewa utumishi na status inasoma (WITHDRAW REQUEST)tangu tarehe 12/2/2025.
JE, NI NINI NIFANYE TENA? Kindly help me.