Yule hapigani na mtu bila kibali kwanza ni doctor pia yaan kwenye hiohio tai chai wanajifunza na kila mshipa uliopo kwenye mwili yan anajua apige wapi uzime atakuuaniunganishe naye sparring nijipime uwezo
Mnh! This is too much kaka,mzee mwamunyange akikuuliza umeipata wapi utamjibuje? mi chimo
haaaaa haaaa
swali kuntu sana hilo.Kwani hao walioenda kuhakiki kwa Makonda juzi walizipata wapi?
Sidhani kama katika waliopeleka kuhakiki kwa wahakiki kuna aliyepeleka bakora kama hiyo!.Kwani hao walioenda kuhakiki kwa Makonda juzi walizipata wapi?
Duuh!! Hii settting ni ya kiutu uzimaMmhh martial arts ya kwenda gheto kwa masai dada bila shaka itakuwa sexual arts! Masai dada nipm nikuelekeze kwa jamaa yangu. Mm najua but muda sina kutokana na ubize wa kazi zangu!
Yule hapigani na mtu bila kibali kwanza ni doctor pia yaan kwenye hiohio tai chai wanajifunza na kila mshipa uliopo kwenye mwili yan anajua apige wapi uzime atakuua
Yule hapigani na mtu bila kibali kwanza ni doctor pia yaan kwenye hiohio tai chai wanajifunza na kila mshipa uliopo kwenye mwili yan anajua apige wapi uzime atakuua
Vibaka wa bongo heri uwe na maji ya pilipili kichaa,uweke kwenye kale chupa cha chilisosi yenye matundu mengi,akikusogelea tu unaibinya machoni kwake.
Halafu hivi kuna hizi short za umeme imekaa kama silaha hivi,huwa naona kwenye movie utakuta polisi wanakamata nayo majambazi au wezi,kibongo haiuzwi?
binafsi mtu aliyecheza martial arts yoyoye na mwenye mkanda wowote haniambii kitu .....ndio maana vikosi vya ulinzi huwa wanacheza kitu inaitwa kombat, warusi (jeshi) wanamchezo wao unaitwa spetnaz hii michezo ni mahususi kwa street fight yaani unapigana bila kanuni unajihami na adui mwenye kucheza mchezo wowote au awe na silaha yoyote ... tusitishane kabisa na black belt .....za ulingoni si tunapigana street fight adui anakuja na kisu jiwe nondo panga ....na unaruhusiwa kuparua kutoboa macho kung'ata kuchukua silaha al mradi mwisho wa siku uibuke mshindi......roger that?
Si ujifunze karate au unataka matungulimanually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni
Yakizamani hii mkuu ,kunatoleo jipya la 2014 ni noma katika mapigoXM2010 Enhanced Sniper Rifle (ESR)
[TABLE="width: 643"]
[TR]
[TD="width: 312"]Caliber
[/TD]
[TD="width: 313"].300 Win Mag (7,62x67)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Action
[/TD]
[TD="width: 313"]Manually operated bolt action
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Overall length
[/TD]
[TD="width: 313"]1135 mm
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Barrel length
[/TD]
[TD="width: 313"]610 mm
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Weight
[/TD]
[TD="width: 313"]7,95 kg loaded, with scope
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Magazine capacity
[/TD]
[TD="width: 313"]5 rounds
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sidhani kama katika waliopeleka kuhakiki kwa wahakiki kuna aliyepeleka bakora kama hiyo!.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kuwa tajiri kama dangote halafu katiza mitaa ya keko mida ya mchana tu watakuonyesha Kwanini mbuzi ana mkia mfupi.mkuu self defense ni kuwa na PESA, hapo hata adui yako atakuchekelea na kukushobokea.
hujiulizi kwanini hata Mayweather ana ulinzi wakati yuko fit kwenye ndondi???? Pesa ndugu.Kuwa tajiri kama dangote halafu katiza mitaa ya keko mida ya mchana tu watakuonyesha Kwanini mbuzi ana mkia mfupi.