IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Natumia simu ya Tecno phantom six plus ilia anguka ikapata mushkeli kidogo nikapeleka kwa fundi ikasetiwa fresh sasa kumbe kidude cha kuchomekea phone kimezngua nimefika home ndio nimejua iyo shida kile kitundu cha juu ya simu au chini earphone jack sjui kinaitwa nafikiri kina eleweka vipi wakuu hua vinabadilishwa ivi wakuu kwa kuwekwa kingne??? Au inakauaje? Chief-Mkwawa msada please