Msaada wa swali la hisabati

Msaada wa swali la hisabati

Mrs minel

Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
74
Reaction score
85
Habari.

Naombeni msaada wa swali hili.

Eleza matumizi ya namba kamili katika maisha ya kila siku (katika mfumo wa insha)
 
Hili linahitaji watu waliosoma Applied Mathematics, hizi hesabu za kawaida hazifui dafu.

Jaribu hii:

1. Mikono, miguu, macho, masikio, mapumb.u, maboobs, mafigo, etc ni 2.
 
nilitaka kusema sio hisabati ila natulia wataalamu waje
 
Hili linahitaji watu waliosoma Applied Mathematics, hizi hesabu za kawaida hazifui dafu.

Jaribu hii:

1. Mikono, miguu, macho, masikio, mapumb.u, maboobs, mafigo, etc ni 2.
swali lako ni nini sasa hapo?
 
Hili linahitaji watu waliosoma Applied Mathematics, hizi hesabu za kawaida hazifui dafu.

Jaribu hii:

1. Mikono, miguu, macho, masikio, mapumb.u, maboobs, mafigo, etc ni 2.

all mentioned exist in pairs so what iz the problemo
 
Tunavosema namba kamili tunamaanisha chanya Na hasi chanya inasimama upande wa faida Na hasi upande wa hasara..so application katka maisha ni kuwa jambo lolote ufanyalo lina pande mbili faida Na hasara..
 
Ni swali linalochangamsha ubongo. Nitarudi baadaye kuchungulia.
 
Tunavosema namba kamili tunamaanisha chanya Na hasi chanya inasimama upande wa faida Na hasi upande wa hasara..so application katka maisha ni kuwa jambo lolote ufanyalo lina pande mbili faida Na hasara..
plz nifafanulie zaidi my dear its very important ikiwezekana nipe hata mifano hai
 
namba kamili (whole numbers) kama cjakosea, ni kama vile; 0,1,2,3,4,5,6,...

Faida zake ni kama:
1.Kulinganisha mambo ( for comparison) mf. familia A inawatoto 4 zaidi ya familia B.

2. Inatumika kuchagua vitu tunavyo vipenda. mf. unapobofya 0,1,2,... ktk remote yako ya tv kuchagua chanel unayoipenda unatumia namba kamili.
 
Back
Top Bottom