Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,073
Ampeleke Lyamungo amekua serikali yeye?Mpeleke pale Lyamungo
Ampeleke Lyamungo amekua serikali yeye?Mpeleke pale Lyamungo
hizo ni mchanganyiko na umbwe haina uzuri wowoteAsante mkuu
st. james na uru ni seminari.....utaratibu wake wa kujiunga uko tofauti sana....Binafsi nzur ni st James uru na amedeus tyu kwa boys
Kwani serikali ndio inampeleka mtu LyamungoAmpeleke Lyamungo amekua serikali yeye?
We si ulipelekwa na mjomba wako Manase ndo mana basi unaona wengine wanapelekwa pale na wajomba zao na sio gov'tKwani serikali ndio inampeleka mtu Lyamungo
Manase ni nani kwanza inaonekana unawaza mababu zako wa kale wewe. Kwani anaetakiwa kwenda pale unafaham anatoka wapi labdaWe si ulipelekwa na mjomba wako Manase ndo mana basi unaona wengine wanapelekwa pale na wajomba zao na sio gov't
Acha ufala wewe umbwe haina uzuri unataka uzuri gani?hizo ni mchanganyiko na umbwe haina uzuri wowote
ya ubaya wake ni kutoa product kama wewe ambayo haiwezi kufikiri mada inahusu niniAcha ufala wewe umbwe haina uzuri unataka uzuri gani?
Ok manasePovu la nini tena hadi masikioni ongea hoja wewe mvulana huwezi lazimisha tui kuwa maziwa. Unauhakika wanaosoma hiyo shule wote walichaguliwa na serikali kutoka form four..mara nyingine uache ununda wapo wanaohamia na hawakuchaguliwa na serikali bali wameomba kuhamishiwa hapo. Nafikiri unamwelewa mtoa mada kwa namna moja fikirisha ubongo huo kijana.
Hahahahhahahah manase bado yupo hai???We si ulipelekwa na mjomba wako Manase ndo mana basi unaona wengine wanapelekwa pale na wajomba zao na sio gov't
Unajifanya humjui mjomba wako manase aliyekufanyia mchongo ukaingia pale?Manase ni nani kwanza inaonekana unawaza mababu zako wa kale wewe. Kwani anaetakiwa kwenda pale unafaham anatoka wapi labda
Mngekuwa mnatuwekea na ada zao ili tuweze kujua,nina dogo yupo la saba mwaka huuKwa Shule nzuri za kilimanjaro ni kama ifuatavyo
SEMINARY SCHOOL
zipo nyingi ila ambazo ni bora ni
Huru Seminary
Mau Seminary
St. James Seminary
Nishule ambazo huwa zinaongoza Sana tanzania kila mwaka yaan Ata ukiangalia kweny top ten zipo kila mwaka
Ila utaratibu wakijiunga upo tofauti na Shule nyingine Kama unahitaji mwanao ajiunge Uko nitafute pm nikupe maelezo zaidi ili uweze kufanikisha ...
Ila zipo Shule kama
St . Amadeus
Olaleni
Kilimanjaro boys
Marangu sec.
Scholastica pia zipo vizur San
Ila St. Amadeus ipo vizur Sana ndo inachuana sana St. James Seminary kwahiyo pia kama unaweza mpeleke St. Amadeus
Nikupe mambo muhimu yakufanya. Ni kama hujielewi unataka niniUnajifanya humjui mjomba wako manase aliyekufanyia mchongo ukaingia pale?
Mana combi yako haikubalance kama sjakosea ulikua na C mbili na D moja.
So we humjui mzee manase sio? Ama unamkana kisa ameshakutoa?Nikupe mambo muhimu yakufanya. Ni kama hujielewi unataka nini