wakuu naomba msaada jinsi ya kuunganisha internet kwenye simu yangu.
Wakuu naomba msaada jinsi ya kuunganisha internet kwenye simu yangu.
Unatumia mtandao gani?
Kama voda
A> andika wap acha nafasi jina la simu acha nafasi model kisha tuma 15300,
B>au tuma tarakimu nane za mwanzo za imei no ya simu yako kwenda 15300.
Tigo fuata utaratibu A kama voda kwa kutuma kwenda 500