elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Kwa muda sasa nilikuwa najisomea programming mwenyewe hasa java na php, lakini kuna vitu nilikuwa nikijaribu soma nilikuwa naishia kukalili na wala sielewi.
kuna jamaa yangu yeye ni developer akaniambia ningesoma c language itanipa basics za programming, then from there naweza kwenda kwenye c++ na languages nyingine.
toka nimeanza kusoma c language nikisoma php naielewa zaidi kuliko awali.
back to topic nina tatizo kwenye c, pale ninapotumia double, ni run program yangu haitoi majibu ninayo yatarajia, nimejaribu andika code mbambali nikitumia int zinaenda sawa lakini nikitumia double ili niweze deal na namba zenye decimal places pia niki run inaleta 0.00 kama output.
tatizo langu lingine ni juu ya float, float niitumie wapi, na je nikiitumia ninapoandika code
example:
kama niki declare variable kuwa ni
int x, y,z;
mikija kwenye
scanf("%i",&x);
je sehemu ya scanf nitaandika nini penye "i" iwapo nime declare variable kuwa ni float.
Ifuatayo ni code niliyoandika kwa kudeclare variables kuwa ni double ni kirun sipati jibu ninalotarajia but nikizichange kuwa integer jibu linakuwa sawa.
Je nitakuwa ninakosea wapi:
#include <stdio.h>
#include <conio.h>
#include <stdlib.h>
int main()
{
int z;
double y,x;
printf("ENTER 1 to M AND 2 FOR Kms \n");
scanf("%i",&z);
switch (z)
{
case 1:
printf("Number of metres\n");
scanf("%1f",&x);
y=1000.00*x;
printf("Number of metres are %.2f\n",y);
break;
case 2:
printf("Number of kms\n");
scanf("%1f",&y);
x=y/1000.00;
printf("Number of metres are %.2f\n",x);
break;
default:
printf("Error input/n");
break;
}
system("pause");
return 0;
}
kuna jamaa yangu yeye ni developer akaniambia ningesoma c language itanipa basics za programming, then from there naweza kwenda kwenye c++ na languages nyingine.
toka nimeanza kusoma c language nikisoma php naielewa zaidi kuliko awali.
back to topic nina tatizo kwenye c, pale ninapotumia double, ni run program yangu haitoi majibu ninayo yatarajia, nimejaribu andika code mbambali nikitumia int zinaenda sawa lakini nikitumia double ili niweze deal na namba zenye decimal places pia niki run inaleta 0.00 kama output.
tatizo langu lingine ni juu ya float, float niitumie wapi, na je nikiitumia ninapoandika code
example:
kama niki declare variable kuwa ni
int x, y,z;
mikija kwenye
scanf("%i",&x);
je sehemu ya scanf nitaandika nini penye "i" iwapo nime declare variable kuwa ni float.
Ifuatayo ni code niliyoandika kwa kudeclare variables kuwa ni double ni kirun sipati jibu ninalotarajia but nikizichange kuwa integer jibu linakuwa sawa.
Je nitakuwa ninakosea wapi:
#include <stdio.h>
#include <conio.h>
#include <stdlib.h>
int main()
{
int z;
double y,x;
printf("ENTER 1 to M AND 2 FOR Kms \n");
scanf("%i",&z);
switch (z)
{
case 1:
printf("Number of metres\n");
scanf("%1f",&x);
y=1000.00*x;
printf("Number of metres are %.2f\n",y);
break;
case 2:
printf("Number of kms\n");
scanf("%1f",&y);
x=y/1000.00;
printf("Number of metres are %.2f\n",x);
break;
default:
printf("Error input/n");
break;
}
system("pause");
return 0;
}