Msaada wa Programming kwenye GSM Modem!

Hadoop

Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
88
Reaction score
15
Wadau nimejaribu ku execute "AT commands" chache kama vile AT (on HyperText Terminal) kwenye GSM modem (Huawei) za hapa home tz naona zinagoma kabisa. Nikitumia modem za nchi nyingine zinapiga kazi vizuri tuu.

Kuna mwenye wazo lolote juu ya hili tatizo? Au modem wanazoleta hapa kwetu zina support AT Commands chache tuu?

Pamoja.
 
Sio Modem zote hu spport AT commands na sio zote zinazo support zina support full set.
Check na user manual kuona kama command unazopeleka ziko supported!
 
Sio Modem zote hu spport AT commands na sio zote zinazo support zina support full set.
Check na user manual kuona kama command unazopeleka ziko supported!

Mkuu wewe si unazijua modem zetu za hapa home tz zimetoka Huawei China.
Nimejaribu AT command kwani hiyo ndiyo basic na minimal command kabisa, sasa nikashangaa inakuwaje zisi support!!!
Nimecheki online source, wanasema modem baadhi hazi support Advanced AT commands na si hizi basic commands.

Nimewahi kujaribu nikiwa nje ya Africa, Modem hizo hizo za wachina, huawei zilikuwa zina respond vizuri tuu to AT commands.

Error inayoonesha ni hii hapa:

Invalid or no response from the device.Please check the modem port
and the baud rate
Disconnecting port COM10

Sijajua tatizo ni nini hasa.
 
Inaweza kuwa configurations. Check na Manual!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…