Msaada wa process ya kusajili brand Tanzania

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,688
Reaction score
23,391
Wanabodi bila shaka mmamka salama na kuanza week hii mpya. Dua ziwaendee wale wenye changamoto.

Niruke kwenye mada moja kwa moja.

Nataka kujua utaratibu wa kusajili brand na kupata hakimiliki (copyright) hapa Tanzania. Mchakato unaanzaje, na ni vitu gani vinavyohitajika?

Nataka ins and out za namna ya kufanya kusajili pamoja na gharama husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…