Msaada wa plug za gari.

Msaada wa plug za gari.

BRO SANTANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,845
Reaction score
2,249
Habari wakuu.
Nina gari yangu imeanza kutetemeka injini na kuongeza matumizi ya mafuta na mlio wa kelele ya juu(muungurumo)
Nimepeleka kwa fundi akafungua spark plugs na kusema nibadilishe niweke mpya tatizo litakwisha.
Msaada kwa anayejua tatizo hilo
 
Yuko sawa, pia badilisha fuel filter, safisha air cleaner.
 
Badirisha kwanza spark plugs ndipo uje kulalamika huku!
 
Back
Top Bottom