Bado sijajiunga DIT.Ninaingia mwezi wa kumi mwaka huu nilikuwa ninahitaji kuanza kusoma mapema ninapopata muda binafsi na siwezi kwenda tuition kwa sababu kuna kibarua ninafanya.
🤌🏽🤏🏽 Unaweza kuwa mkubwa ila kubwa jinga.Acheni kujifanya wajuaji kisa mmetuzidi umri .Aimaanishi sisi hatuna vitu tunavyovijua au kuvipanga kimkakati.
Hii nchi ina baadhi ya watu wazima hovyo sana.Jikite kwenye mada kama hauwezi nisaidia acha kuropoka.
Kama wewe ni form four leaver nakushauli tafuta tranter na nelkon kwanza then soma Sana hesabu na zile topics za umeme kwenye nelkon engineering ni mtoto was physics na hesabu
Kama wewe ni form four leaver nakushauli tafuta tranter na nelkon kwanza then soma Sana hesabu na zile topics za umeme kwenye nelkon engineering ni mtoto was physics na hesabu