Black listed
Senior Member
- Apr 6, 2023
- 182
- 253
Dah mbona kazi sasa.Ina maanisha utapitia maisha magumu sana kabla hujatoboa
Yani ilinikuta nipo home nishamaliza chuo nasikilizia majibu,daah nikaota hiyo ndoto nipo darasani napiga pepa,provisional result kutoka nipo na sapu yangu imenyooka,
Pengine kuwa nyuma kiimani ndo inaweza kuwa tatizo maana kiukweli nimekuwa na harakati zinazonipishanisha na mda wa ibaada bahati mbaya sana kwangu hii...Inaweza kuwa upo nyuma kiimani kama jamaa alivyosema hapo awali, lakini pia inaweza kuwa umechelewa kimaisha. Huenda unawaona watu uliosoma nao shule ya msingi, sekondari; wao wapo mbele kimaendeleo zaidi yako. Akili imeumbwa kuchakata taarifa za mambo uliyoyaona kwa macho na hatimaye hukupa mrejesho kwa njia ya ndoto!
DahKuna kitu bado kinakukabiri kipo ndani yako. Hujakimaliza, mpaka ukimalize ndo maisha yako yatakuwa sawa. Check kama uliahidi kuoa, umepiga mimba, nk
Ndoto kama hizi mbona zinatokea watu wengi sana, kuna thread huku JF watu wanatoa experience yao kuhusu ndoto wakiwa shuleniHabari ndugu jamaa na Marafiki,
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.
Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.
Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.
Naomba kusasilisha
Zinaumiza hasa ukisikia habari za kuwa kuna mtu anakurudisha nyuma ndo unazidi kuchanganyikiwa.Ndoto kama hizi mbona zinatokea watu wengi sana, kuna thread huku JF watu wanatoa experience yao kuhusu ndoto wakiwa shuleni
Mimi ndoto kama hizo nimeota sana ila siku hizi zimepungua, sikuzitilia maanani ila watu wengi wanaota,Zinaumiza hasa ukisikia habari za kuwa kuna mtu anakurudisha nyuma ndo unazidi kuchanganyikiwa.
Dah maisha haya yamejaa siri sana.Mimi ndoto kama hizo nimeota sana ila siku hizi zimepungua, sikuzitilia maanani ila watu wengi wanaota,
What Does It Mean When You Dream You Haven't Studied for a Big Test?
Dream expert and author Delphi Ellis told Newsweek this recurring dream relates to stress.www.newsweek.com
Zinaumiza hasa ukisikia habari za kuwa kuna mtu anakurudisha nyuma ndo unazidi kuchanganyikiwa.
Nashuka naye hapa naona anaelezea ..kwa undan kidogoMsaada wa tafsiri ya ndoto ya kurudi shule mara kwa mara
Habari Wana Jamiforums natumani mko poa kabisa. Kuna ndoto moja ina inanitesa Sana nimeona bora leo nilielezee hapa jukwaani angalau niweze kupata ufafanuzi kidogo kuhusiana na ndoto hii ninayo ota ikijirudia Mara kwa Mara kila Napo lala usiku. Nimuda Sasa yapata Kama miaka Saba tangu nihitimu...www.jamiiforums.com
Kuna huyo naye
Kuna huyu tena,Nashuka naye hapa naona anaelezea ..kwa undan kidogo
Du. Wachungaji wa siku hizi hawana tofauti na waganga wa kienyeji. Mkristo unaishi kwenye hofu ya ndoto?Tafuta kitabu kinachohusu NDOTO Cha Christopher Mwakasege kitakusaidia.
Au ingia utube Sikiza watumishi walioongelea kuhusu ndoto ya kuota unafanya mtihani.
Kifupi ni kuwa, KIMWILI umemaliza mitihani bt kiroho Bado unafanya mitihani, na ukifaulu tu mitihani kiroho, utapata KAZI na maisha kufunguka.
Mtu halisi yupo kwenye ndoto hivyo dumu sana kwenye maombi Ili ujikwamue hapo uliposhikiliwa.
Afadhali na wewe unaota unafanya mitihani ya chuo, Kuna mwingine alikuwa amemaliza degree but alikuwa anaota amevaa kaptula akienda shule alosomea zamani ya msingi.
Na ukipuuza ndo imekula.
Ubarikiwe.
Hizi ndoto wakati mwingine zinamaanisha ni onyo kwamba unatakiwa kubadirika... kuna mienendo ya maisha unaishi unatakiwa kubadirika... usipo badirika kuna mambo yanaweza kukuta/kukutokea huko mbeleni,Habari ndugu jamaa na Marafiki,
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.
Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.
Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.
Naomba kusasilisha
Kama imani yako ipo kwenye kisomo basi fanya na uangalie matokeo ikishindikana fanya mengine pia.Ahsante sana kwa somo hili hakika nalichukua kwa mikono miwili na nitalifanyia kazi nitafute watu wa kufanya kisomo nadhan nitakuwa sawa boss.
Hii ndoto huwa naiota tangu nipo chuo... Mpaka leo yapata muongo mmoja napokuwa nakaribia matatzo basi ndoto hii huja......Habari ndugu jamaa na Marafiki,
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.
Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.
Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.
Naomba kusasilisha
Dah unakuta unaishi maisha yasiyo ya anasa lkn bdo unakutana nayoHizi ndoto wakati mwingine zinamaanisha ni onyo kwamba unatakiwa kubadirika... kuna mienendo ya maisha unaishi unatakiwa kubadirika... usipo badirika kuna mambo yanaweza kukuta/kukutokea huko mbeleni,
Dah watalaam wanasema kuna sehemu hakuko sawa.Hii ndoto huwa naiota tangu nipo chuo... Mpaka leo yapata muongo mmoja napokuwa nakaribia matatzo basi ndoto hii huja......