hongera sana mkuu si hata kuigusa ndege hatujawahi nenda mzee katuwakilishe
TWAMBIE UMEPANDA NDEGE GANI YA BEI NAFUU ILI NA SISI TUKIWA NA DHARURA TUPANDE. NA JE NI SH NGAPI?Nilikuwa natokea Dar kiongozi. Nashukuru nimefanikiwa. Barikiwa kwa wale waliokuwa tayari kunisaidia na nikasaidika pia. Mungu awabariki