Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Jan 3, 2018
1,907
5,432
Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno.

Tafadhali msaada wenu.
 
Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno.

Tafadhali msaada wenu.
Tafuta dawa ya mswaki inaitwa whitedent gel..ya blue..then jitahidi uwe unaswaki usiku baada ya kula kabla ya kulala maumivu utokaa uyaone...
 
Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno.

Tafadhali msaada wenu.
Tafuta kipande chá tangawiz kioshe vizur, punje 12 za karafuu na punje nne za kitunguu swaum.

Saga kwa pamoja na uweke kwenye jino linalouma unaweza kuweka usiku mda wakutaka kulala.

Jikaze sana maana inauma haswa ndani ya dakika 10-15 utapa mwasho na maumivu jikaze ndugu.


Utafanya zoezi hilo kwa siku tatu hadi nne.
 
Kwanza kabla ya kutafuta dawa unatakiwa kufanya yafuatayo:-
1.Acha/punguza kula vyakula vya sukari.
2.kunguza vyakula vyakukaanga
3.piga mswaki kabla hujalala.
4.wkt wa usiku unapolala jifunike kichwani kwakua maeneo mengi yanabaridi kipindi hiki.
NB:
Kufanya hivi km ni short time disease itaondoka km sikupungua kabisa ila km niya ukoo/generation nenda hospital.
 
Kwanza kabla ya kutafuta dawa unatakiwa kufanya yafuatayo:-
1.Acha/punguza kula vyakula vya sukari.
2.kunguza vyakula vyakukaanga
3.piga mswaki kabla hujalala.
4.wkt wa usiku unapolala jifunike kichwani kwakua maeneo mengi yanabaridi kipindi hiki.
NB:
Kufanya hivi km ni short time disease itaondoka km sikupungua kabisa ila km niya ukoo/generation nenda hospital.
Ahsante mkuu
 
Tafuta kipande chá tangawiz kioshe vizur, punje 12 za karafuu na punje nne za kitunguu swaum.

Saga kwa pamoja na uweke kwenye jino linalouma unaweza kuweka usiku mda wakutaka kulala.

Jikaze sana maana inauma haswa ndani ya dakika 10-15 utapa mwasho na maumivu jikaze ndugu.


Utafanya zoezi hilo kwa siku tatu hadi nne.
Ahsante mkuu nitafanya hivyo
 
Kama linaingilia ratiba zako za Maisha, mfano huwezi kulala, huwezi fanya kazi zako , Basi ni wakati wa Kung'oa jino Hilo.
Inategemea jino la chin au la juu.kama la juu anahatarisha maisha yake maana mishipa ya kichwa imeungana na fizi za juu.atafute acje akakata moto
 
Tafuta dawa ya meno ya Sendodyne Repair and Protect, ni ghali kidogo kulinganisha na dawa nyingine ila ni nzuri mno.

1687704049481.png


Lakini ushauri wa maana zaidi ni kwenda kwa daktari wa meno uangaliwe.

Nilikuwa muhanga wa maumivu ya meno kwa miezi sita mfululizo mpaka wiki iliyopita nilipoamua kwenda hospitali.

Kipindi chote nilihisi ni mafizi ndio yenye hitilafu ila hospitali baada ya x-ray ikagundulikana meno yameoza kwa ndani ila nje yanaonekana mazima.
 
Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno.

Tafadhali msaada wenu.

Wakuu nisaidie dawa ya jino la kutibu au kutuliza maana hali ninayoihisi ni hatari mno.

Tafadhali msaada wenu.
Tafuta magome ya mti wa mwembe yatwange kwenye kinu uwe unga kisha chemsha mpaka yachemke afu ipua weka kwenye chupa uwe unapigia nayo mswaki na kusukutulia nayo hakika utapona kabsa.nakupa onyo kama unaumwa jino la juu ucje kuling"oa mana utaatarisha maisha yako kwani mishipa ya fahamu imeungana na fizi za juu ucje ukakata kamba.nna rafk yangu alishakata kamba kwasababu ya kung"oa jino la juu damu zilivuja kupita kiasi
 
Tafuta ndulele(tulantu) lile tunda kausha then lisage..unga wake dondoshea apo panapouma.ukisikia tena shida ya jino nenda kalitoe
 
Hilo jino kalitoa alafu kuwa na tabia ya kula vitamin c mara kwa mara kukupa nguvu ya meno na uwe mpigaji wa mswaki angalau kila unapokula au tembea na hydrogen peroxide uwe unasukutua itakusaida. Pole sana
 
Tumia amoxicillin dozi ya siku saba hakikisha unamaliza dozi hata kama litaacha kuuma siku ya pili tu baada ya kuanza kutumia.
Pia tumia Med_oral kusukutua kwa dakika tatu mpaka tano mara mbili kwa siku hii medoral sio ya kumeza ni mouth wash unaweza itumia kama alternative ya dawa ya mswaki.

Kila la heri
 
Back
Top Bottom