Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 859
Alhamisi jion wk hii, mshkaji wangu kaja geto.
Kwa hali isiyo ya kawaida akawa anajikuna sana kenye ANUS PART , kwa kuibia tu dizain flan nisimuone.
Lkn nikagundua hili ni tatizo Nikahoji kwa kujikaza, mbn unajikuna sana una tatizo gani? Alichojinijbu akasema.
Ni kwel, ni kwamba kama mwaka wa pili sasa, napata muwasho centre anus part nimejaribu dawa nying sana za fungus imeshindikana,
na hadi sasa nimekata tamaa.
Sasa watalaam nauliza huu ugonjwa ni ugonjwa gani na unatibikaje?
Kwa hali isiyo ya kawaida akawa anajikuna sana kenye ANUS PART , kwa kuibia tu dizain flan nisimuone.
Lkn nikagundua hili ni tatizo Nikahoji kwa kujikaza, mbn unajikuna sana una tatizo gani? Alichojinijbu akasema.
Ni kwel, ni kwamba kama mwaka wa pili sasa, napata muwasho centre anus part nimejaribu dawa nying sana za fungus imeshindikana,
na hadi sasa nimekata tamaa.
Sasa watalaam nauliza huu ugonjwa ni ugonjwa gani na unatibikaje?