Lete hela nikupe maujanja!Habari,
Naomba kwa mwenye maarifa/ujuzi wa namna ya kurecover/kupata documents kwenye flash ambayo haisomi tena kwenye computer.
Yaani ni kama imekwisha haribika, ukizingatia documents zilizopo kwenye hiyo flash ni za umuhimu sana.
Weka Nyama Kidogo Tupate Hata Jinsi Ya KukusaidiaHabari,
Naomba kwa mwenye maarifa/ujuzi wa namna ya kurecover/kupata documents kwenye flash ambayo haisomi tena kwenye computer.
Yaani ni kama imekwisha haribika, ukizingatia documents zilizopo kwenye hiyo flash ni za umuhimu sana.
Size yake ni 6GB, yaan ukiichomeka kwenye USB port haionyeshi chochote na hili tatizo limekuja ghafra, pia documents zilizomo ni kuandika na nyingine zipo kwenye mfumo wa PDfWeka Nyama Kidogo Tupate Hata Jinsi Ya Kukusaidia
Ulivyosema Hivyo Haitoshi
Tuambie Size Yake
Tuambie Aina Ya Data Zilizokuwemo (Picha, Doc Au Video Etc)
Imeharibikaje (Ghafla, Imepasuka, Imeingia Maji Au Etc)
Status Yake Ya Sasa Ukiichomeka Kwrenye USB Port (Inapiga Kelele, Inakuwa Ya Moto Au Inawaka Tu Taa Kama Inayo)
Tuanzie Hapo Mkuu.
Nimeomba msaada ndugu!Lete hela nikupe maujanja!
Mkuu Mbona Umenijibu Nusu????Size yake ni 6GB, yaan ukiichomeka kwenye USB port haionyeshi chochote na hili tatizo limekuja ghafra, pia documents zilizomo ni kuandika na nyingine zipo kwenye mfumo wa PDf
Kama unamaanisha ulifuta data nikuambie tu unaweza zipata lakini Kama flash imekufa inamaana haitafanya kazi tena usisumbuke mkuu ndo basi Tena.Habari,
Naomba kwa mwenye maarifa/ujuzi wa namna ya kurecover/kupata documents kwenye flash ambayo haisomi tena kwenye computer.
Yaani ni kama imekwisha haribika, ukizingatia documents zilizopo kwenye hiyo flash ni za umuhimu sana.