Mkuu sidhani kama hiyo ni MTUHA ni Offshelf software kama ilivyo Ms word , Adobe, etc. Hiyo itakuwa Bespoke Sofware au Inhouse developed .
Sasa kupata sowafware kama hii ni kuwasiliana na wahusika wa wizara ya afya au idara husika ya afya.
Otherwise kama ina jina lingine global name linaloulikana zadi ya hilo MTUHA basi litaje maana Ugnda, kenya, rwanda inaweza kuwepo lakini ina jina lingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.